Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DALILI ZA MAAMBUKIZI KATIKA MFUMO WA UZAZI

Mama mgonjwa mwenye maambukizi katika mfumo wa uzazi huwa na dalili zisizo na mpaka na mara nyingi huambatana na maumivu ya ghafla ya tumbo. Kama maumivu hayo yamesababishwa na kisonono (gonococcol infection), dalili hutokea mapema sana yaani kati ya siku tatu hadi nne na kama ni wadudu wa Chylamydia huchukua siku tano hadi saba kupata maumivu ya tumbo. Dalili nyingine ni mgonjwa kupata homa pamoja na kichwa kuuma na kutokwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ATHARI ZA MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI

Maambukizi kitaalamu huitwa ‘Pelvic Inflammatory Diseases’. Maambukizi haya huwa sugu na huchukua muda mrefu mwanamke kupona endapo atakuwa na tatizo hili.Maambukizi hushambulia kizazi na mirija ya mayai na viungo jirani kama vile kibofu cha mkojo na tumbo. Chanzo cha maambukizi
Maambukizi haya huwapata wanawake walio katika umri wa miaka 15 hadi 25 ambao tunasema wapo katika umri wa kuzaa. Vimelea vya ugonjwa huu...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA MFUMO WA KIZAZI (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

Mambukizi katika mfuko wa kizazi au kitaalamu pelvic inflammatory disease ni maambukizi ya vijidudu yanayoshambulia sehemu ya ndani ya viungo vya uzazi kama vile mji wa mimba, mirija ya uzazi (follopian tubes), mifuko ya uzazi (ovaries), na viungo vingine vya uzazi vilivyopo kwenye  nyonga ya mwanamke ambapo vijidudu hivyo huweza kuleta madhara makubwa kama kutengeneza jipu kati ya mirija ya  uzazi na mifuko ya  mayai...

 

9 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-3

Wiki hii nitazungumzia matibabu na ushauri kuhusiana na tatizo hili. Matibabu mazuri hutegemea na uchunguzi makini wa awali, tatizo likiwa changa na kabla mwanamke hajaanza kutumia dawa mara kwa mara kwa tatizo hilo, hivyo basi, kwa umakini wa tiba unashauriwa uwaone madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama katika hospitali za mikoa ingawa uchunguzi na tiba za awali unaweza kupata katika vituo vya afya na hospitali za wilaya....

 

9 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-2

Wiki hii nitaendelea na makala haya niliyoanza wiki iliyopita. Kuwa na mpenzi mpya na kufanya naye ngono bila ya kumfahamu vizuri tena bila kutumia kondom, pia ni chanzo kikubwa cha kupata madhara haya. Kuanza ngono katika umri mdogo kati ya miaka kumi hadi 19 ni mojawapo ya chanzo cha tatizo. Ni vizuri msichana usubiri hadi wakati wako ufike, kuanza ngono katika umri mdogo pia ni chanzo kikuu cha kupata kansa au saratani ya...

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUGUNDUA MAAMBUKIZI KWENYE UZAZI (DIAGNOSIS OF PID)

Kama tulivyokwisha kusoma wiki iliyopita katika safu hii dalili za maambukizi kwenye viungo vya uzazi kwa mwanamke kama vile kutokwa uchafu sehemu za siri, homa, maumivu chini ya kitovu, kutokwa na hedhi bila mpangilio, maumivu wakati wa tendo la ndoa na maumivu wakati wa kutoka hedhi  na nyinginezo, hivyo basi ili kugundua ugonjwa wa PID ni lazima kuchukua historia vizuri ya mgonjwa. Daktari atampima tumbo mama ili kugundua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa uzazi kwa mwanaume

MFUMO wa uzazi kwa mwanaume ni muunganiko wa viungo ambavyo viko sehemu ya chini kwenye kitovu ambavyo ni Internal na External, namaanisha viungo vinavyoonekana na viungo vya ndani. Viungo vinavyoonekana...

 

10 years ago

GPL

KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)-2

Wiki iliyopita niliishia pale ambapo nilikuwa naeleza dalili za tatizo hili. Nikasema kwa mtoto wa kiume tatizo hili huathiri mfumo wake wa misuli na kuonekana mtoto na ndevu hazioti. Tatizo likitokea baada ya balehe hujikuta matiti yanakuwa makubwa kama msichana, ndevu na vinyweleo sehemu za siri na makwapani hupungua sana na hata huwezi kunyoa.Pia misuli huanza kunywea na kuonekana mwili unaanza kupungua, kupoteza hamu ya tendo...

 

10 years ago

GPL

KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)

Hali hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au glandi hizi ni korodani kwa mwanaume na ovari kwa mwanamke. CHANZO CHA TATIZO
Tatizo hili linaweza kuwa linatokea tangu kuzaliwa au linatokea katika mfumo mzima wa mwili. Kwa tatizo la kuzaliwa nalo, korodani au vifuko vya mayai huwa havifanyi kazi ya kuzalisha vichocheo au homoni zinazohitajika...

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE

Dk. Frank Ndiyanka
+255 713 112112 | +255 753 644644
LEO tutazungumzia mmea uitwao mlonge ambao ni moja ya mmea tiba unaotumika zaidi kumtibia mwanadamu.
Mmea huu katika pande zake zote hutumika zaidi katika matibabu, nikimaanisha kuanzia kwenye mizizi, magome, majani, pamoja na maua yake.
Mmea huu unaweza kumsaidia mwanadamu katika kutatua matatizo mbalimbali katika mwili wake na leo tutaanza na upande wa mwanamke...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani