KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)-2
![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiK4wUe5xrvUOI2HfOBhTZ2W2V9EyzwBAQjATnx8qqoY2FDtlXoCfZeVnJwwamClpQUYMmtcK1f1ZXuLxQexkZOW/image023.jpg?width=650)
Wiki iliyopita niliishia pale ambapo nilikuwa naeleza dalili za tatizo hili. Nikasema kwa mtoto wa kiume tatizo hili huathiri mfumo wake wa misuli na kuonekana mtoto na ndevu hazioti. Tatizo likitokea baada ya balehe hujikuta matiti yanakuwa makubwa kama msichana, ndevu na vinyweleo sehemu za siri na makwapani hupungua sana na hata huwezi kunyoa.Pia misuli huanza kunywea na kuonekana mwili unaanza kupungua, kupoteza hamu ya tendo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmzXEZikubXZQNPE-fa0B*rJ3lgzYxLsHiQ*U0SeiQdbVRb37uloMKCCJipMQd3zaKcZWkjrVPzM30ncbk66MdBY/1208Gilbertfig1.jpg?width=650)
KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mfumo wa uzazi kwa mwanaume
MFUMO wa uzazi kwa mwanaume ni muunganiko wa viungo ambavyo viko sehemu ya chini kwenye kitovu ambavyo ni Internal na External, namaanisha viungo vinavyoonekana na viungo vya ndani. Viungo vinavyoonekana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pl2AfYSHdf2nuKbMUysiwpYhB62X-lXpOljKog7MLoeGD*mFvlOnEeogFs9jJQ0RvjVnpmXNm-UuxnGKxUqEjU46idkrNwDn/mimba3.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9LQ6DhgiDyExFmRN*ecUY4qACsSJ8ly2T7a0UZe7*R3h2MHDNMWKuPWoeBi5EXUDYUhRgim*6BIAaJDznVu71XK/moringaoleifera.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAUME-5
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Vs8gGUr-LONbx3EudPm*lfORnH7NGC4WcHRVwfkVX-aybr0z*cQC4ZQmtSRVfH04LS7jd04FOU6Fqj4Uixdadf/huundiomtiwamlonge.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3KEw8-pYFlGcWS7qwOK0nzLkFDcIoqo*x4QQJG9MpBoQ5ILgeuzGImlvgjleiBAL6*2GdJ3Haim-B*SNzttPPWM/Fallopian_Tube.png)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-2
11 years ago
Tanzania Daima01 May
DK. JUMA MWAKA: Tatizo la mfumo wa uzazi kwa wanawake ni kubwa
“MGONJWA akija na matatizo ya mfumo wa uzazi, chakula, mishipa ya moyo na mifupa…huwa sina wasiwasi kabisa kwa sababu najua lazima atapata tiba ya uhakika.” Hiyo ni kauli ya Daktari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO8Bh7whVwyImHmq49miftfYdtIhg8ZHOoPAicBexKJJ7QhZ760afZGeM2XyYH19IeaWEmv9si40iF1aEaaDh80/wa.jpg?width=650)
DALILI ZA MAAMBUKIZI KATIKA MFUMO WA UZAZI
9 years ago
VijimamboTFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI