Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapumziko ya ligi yatumike kujitafakari

Wachezaji wa timu 14 za Ligi Kuu Bara wameanza likizo tangu Jumapili iliyopita ili kupisha kipindi cha usajili wa dirisha dogo baada ya raundi saba kumalizika huku mambo mbalimbali yakijitokeza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni wakati mzuri kwa TFF kujitafakari upya

Kwa muda mrefu sasa, Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara imesimama na kuacha wachezaji K na makocha wa klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo wakiwa likizo ya lazima.

 

9 years ago

Habarileo

‘Mapato ya gesi yatumike kuimarisha kilimo’

MJUMBE wa Baraza la Wajuzi kutoka Baraza la Habari (MCT) Jenerali Twaha Ulimwengu ameshauri serikali kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji kwa kutumia fedha zinazotokana mauzo ya gesi asilia na mafuta.

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: MAENEO YA SHULE YATUMIKE KWA SHUGHULI ZA KITAALUMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepiga marufuku shughuli zisizohusiana na taaluma kama ujenzi wa viwanda katika maeneo ya shule ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuwa kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia.“Sheria inakataza kuweka matumizi yoyote yasiyokuwa ya kitaaluma katika maeneo ya shule kwani yanasababisha kelele hivyo wanafunzi kushindwa kusoma vizuri.”Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni(Jumanne, Machi 3, 2020) baada ya kupokea malalamiko ya wazazi kuhusu eneo la shule ya msingi...

 

11 years ago

Habarileo

Leo ni mapumziko

RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo kuwa ni Siku ya Mapumziko kwa Watanzania wote, ili kuendelea kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964. Rais Kikwete ametangaza uamuzi huo mjini Zanzibar jana, ambako aliungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusherehekea siku hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Leo siku ya mapumziko

RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo ni siku ya mapumziko kwa Watanzania wote kusherehekea Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapumziko ya JK yawaponza Strabag

WAFANYAKAZI wawili  na  vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa  kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...

 

10 years ago

Michuzi

KAZI NA MAPUMZIKO NDO MPANGO

Kijana ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa katika mapumziko juu ya kifaa chake cha kazi kama alivyo kutwa mapema leo na kamera ya Globu ya Jamii  jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yafafanua mapumziko Des 9

SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Ziara ya Muhongo yawanyima mapumziko RC, DC

Ziara ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo mkoani Kagera, imewasotesha wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa na kulazimika kuacha mapumziko ya Jumapili wakiambatana naye kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani