Mapumziko ya ligi yatumike kujitafakari
Wachezaji wa timu 14 za Ligi Kuu Bara wameanza likizo tangu Jumapili iliyopita ili kupisha kipindi cha usajili wa dirisha dogo baada ya raundi saba kumalizika huku mambo mbalimbali yakijitokeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Ni wakati mzuri kwa TFF kujitafakari upya
9 years ago
Habarileo31 Aug
‘Mapato ya gesi yatumike kuimarisha kilimo’
MJUMBE wa Baraza la Wajuzi kutoka Baraza la Habari (MCT) Jenerali Twaha Ulimwengu ameshauri serikali kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji kwa kutumia fedha zinazotokana mauzo ya gesi asilia na mafuta.
5 years ago
MichuziMAJALIWA: MAENEO YA SHULE YATUMIKE KWA SHUGHULI ZA KITAALUMA
11 years ago
Habarileo13 Jan
Leo ni mapumziko
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo kuwa ni Siku ya Mapumziko kwa Watanzania wote, ili kuendelea kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964. Rais Kikwete ametangaza uamuzi huo mjini Zanzibar jana, ambako aliungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusherehekea siku hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Leo siku ya mapumziko
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo ni siku ya mapumziko kwa Watanzania wote kusherehekea Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapumziko ya JK yawaponza Strabag
WAFANYAKAZI wawili na vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...
10 years ago
MichuziKAZI NA MAPUMZIKO NDO MPANGO
9 years ago
Habarileo01 Dec
Serikali yafafanua mapumziko Des 9
SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Ziara ya Muhongo yawanyima mapumziko RC, DC