Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAZI NA MAPUMZIKO NDO MPANGO

Kijana ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa katika mapumziko juu ya kifaa chake cha kazi kama alivyo kutwa mapema leo na kamera ya Globu ya Jamii  jijini Dar es Salaam.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014 NDO MPANGO MZIMA

LILE Tamasha kubwa nchini Tanzania, Tamasha la Usiku wa Matumaini mwaka huu litatimua vumbi Agosti 8 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Usikose!

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUTANA KUANDAA MPANGO KAZI NA MPANGO WA MANUNUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015

Baadhi ya Viongozi wa Idara za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wanaohudhuria kikao cha kuandaa Mpango Kazi na Mpango wa Manunuzi wa Wizara hiyo katika Chuo cha Kanda cha Uhamiaji mjini Moshi, (toka kulia) Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga, Kamishna wa Fedha na Lojistiki wa Jeshi la Polisi, Clodwig Mtweve, Kamishna wa Urekebishaji wa Jeshi la Magereza, Deonice Chamulesile na Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Juma Mohamed.    Maafisa wa Wizara ya...

 

10 years ago

Habarileo

Makonda atangaza mpango kazi wake

Paul MakondaMKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ameweka wazi mpango kazi wake baada ya kukaa ofisini kwa siku tatu tangu kuapishwa kushika wadhifa huo.

 

5 years ago

Michuzi

KAMWELWE ATAKA MPANGO KAZI DARAJA LA KIYEGEYA


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (Wa Nne kushoto), akielekea kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mchepuko na maandalizi ya ujenzi wa daraja katika eneo la Kiyegeya,
mkoani Morogoro. Daraja hilo lilikatika tarehe 2 Machi mwaka huu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akisisitiza jambo kwa wahandisi kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), wakati akikagua maendeleo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Warsha ya mpango kazi wa huhuhisha masuala ya maadiliko ya Tabianchi

_DSC0202

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Angelina Madete akifungua Warsha ya kukamilisha Mpango kazi wa kuhuhisha masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi katika maeneo ya Pwani ya Dar es Salaam. Warsha hiyo ya siku mbili inafanyika katika Hotel ya Stella Maris, Bagamoyo na inahusisha wadau kutoka Vyuo Vikuu, wadau wa maendeleo na Manispaa za Dar es Salaam.

_DSC0207

Mratibu wa Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi katika maeneo ya pwani ya Dar es Salaam Mhandisi Ladislaus Kyaruzi (kulia)...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira

Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana. Maana yake ni kwamba hali ya uchumi nchini haikui vizuri, hivyo inashindwa kusaidia wengi kupata ajira.

 

5 years ago

Michuzi

MPANJU ATAKA VIPAUMBELE VYA MSINGI VIIBULIWE KATIKA MPANGO KAZI WA PILI WA HAKI ZA BINADAMU


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju akifungua kikao cha siku mbili cha wataalam wa Kikosi kazi cha kupitia rasimu ya mpango kazi wa pili wa haki za binadamu kinachofanyika jijini Dodoma.Wengine pichani kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Haki za Binadamu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Nkasori Sarakikya na kushoto ni Afisa Mchunguzi Mkuu na Mratibu wa Mpango kazi wa kwanza wa haki za binadamu Bw. Laurent Buliro kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI KUANDAA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU (2020-205)

Na.Faustine Gimu,Dodoma.Serikali kwa kushirikiana na wadau imeandaa na kuanza kutekeleza Mpango-Kazi wa Kitaifa wa Kupunguza Matumizi ya Zebaki kwa Wachimbaji Wadogo wa Dhahabu  (2020 – 2025).
Hayo yamesemwa  jana April 16 Bungeni jijini Dodoma  na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Rais Muungano na Mazingira  Mhe. Mussa Azzan Zungu  wakati akiwasilisha hotuba Kuhusu Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Kwa Mwaka 2020/21 . Waziri Zungu amebainisha kuwa Mpango-Kazi  huo unalenga kupunguza matumizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani