Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA MATUMAINI 2014 NDO MPANGO MZIMA

LILE Tamasha kubwa nchini Tanzania, Tamasha la Usiku wa Matumaini mwaka huu litatimua vumbi Agosti 8 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Usikose!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KUPIMA VVU NDIO MPANGO MZIMA-LINDA GOLI LAKO29th NOV, 2014 is the HIV Testing Day for Dar es Salaam


Amref Health Africa in partnership with Ministry of Health, TACAIDS,UNAIDS  in Tanzania and Salama Foundation will offer free HIV testing in multiple selected sites in Dar es salaam City on 29thNovember 2014. This is part of the national HIV Testing Campaign to mark the World AIDs Day in 2014.


In Tanzania, sixty-two percent (62) of women and 47 percent of men have ever been tested and received the results of their HIV test according to the THMIS 2011/12. The results lead to a gap of 53% for...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA

Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE

Meneja Mkuu wa Global Publishers waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini, Abdallah Mrisho (katikati) wakati akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mwaka jana katika maandalizi ya tamasha hilo. PICHA ZOTE NA MAKTABA) GOOD news kwa wananchi wazalendo wa Tanzania ni kwamba lile tamasha kubwa la kuhamasisha matumaini linalofanyika kila mwaka, badala ya kufanyika katika Sikukuu ya Sabasaba kama ilivyokuwa mwaka jana, mwaka huu...

 

11 years ago

GPL

NYOMI NDANI YA USIKU WA MATUMAINI 2014

Nyomi iliyokusanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwa ajili ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.…

 

11 years ago

GPL

WOLPER: NIMEJIPANGA VILIVYO USIKU WA MATUMAINI 2014

Stori: Shani Ramadhani
MWANADADA anayefanya vizuri katika soko la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amejitapa kuwa amejipanga vizuri katika kuhakikisha kuwa, siku ya tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini atafanya mambo makubwa. Mwanadada anayefanya vizuri katika soko la filamu Bongo, Jacqueline Wolper Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Wolper alisema anataka siku hiyo aweke historia katika ulimwengu wa ndondi hivyo anafanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani