Leo ni mapumziko
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo kuwa ni Siku ya Mapumziko kwa Watanzania wote, ili kuendelea kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964. Rais Kikwete ametangaza uamuzi huo mjini Zanzibar jana, ambako aliungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusherehekea siku hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Leo siku ya mapumziko
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo ni siku ya mapumziko kwa Watanzania wote kusherehekea Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapumziko ya JK yawaponza Strabag
WAFANYAKAZI wawili na vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...
10 years ago
MichuziKAZI NA MAPUMZIKO NDO MPANGO
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Mapumziko ya ligi yatumike kujitafakari
9 years ago
Habarileo13 Nov
Azam FC yafuta mapumziko ya Pluijm
KOCHA wa timu ya soka ya Yanga, Hans van der Pluijm amesema ameamua kutokwenda mapumzikoni nchini Ghana kwa sababu ya kuandaa programu muhimu ambazo anaamini ndizo zitakazoisaidia timu yake kutetea ubingwa wao msimu huu.
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Ziara ya Muhongo yawanyima mapumziko RC, DC
9 years ago
Habarileo01 Dec
Serikali yafafanua mapumziko Des 9
SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mapumziko Siku ya Mapinduzi yakanganya wengi
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Ufanye mazoezi yapi kipindi cha mapumziko