Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara ya Muhongo yawanyima mapumziko RC, DC

Ziara ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo mkoani Kagera, imewasotesha wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa na kulazimika kuacha mapumziko ya Jumapili wakiambatana naye kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

ZIARA YA PROFESA MUHONGO BUKOBA

Serikali imesema ifikapo mwaka 2018 Mfumo wa umeme katika Mkoa wa Kagera utakua umeingizwa kwenye Gridi ya Taifa. Hayo yalisemwa jana tarehe 27 Desemba na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alipofanya ziara mjini Bukoba, Mkoani Kagera ili kukagua miundombinu ya umeme.  Ilielezwa kwamba Mkoa huo kwa sasa unapata umeme kutoka nchini Uganda ambao umekuwa ukikatika mara kwa mara na hivyo kulilazimu Shirika la TANESCO kutumia mitambo yake inayotumia mafuta ambayo hata hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MUHONGO AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI MARA KUTEMBELEA MIRADI YA UMEME

Waziri wa Nishati na Madini akiulizia utekelezaji wa umeme katika kijiji cha Kamgendi katika siku yake ya kwanza ya siku 6 za ziara katika Wilaya zote za Mkoa wa MaraMeneja wa TANESCO mkoani Mara, Henry Byabato (kulia) akifafanua usambazaji wa umeme vijijini katika mkoa huoWananchi wakimsikiliza

 

11 years ago

BBCSwahili

Syria yawanyima chakula wakimbizi

Serikali ya Syria inadaiwa kutumia mbinu zisizofaa kuwanyima chakula, raia, wasio na hatia kama silaha katika vita vinavyoendelea .

 

11 years ago

Mwananchi

Majengo yawanyima raha walemavu nchini

Kundi hilo limekuwa likishindwa kupata huduma muhimu katika hospitali, shule, ofisi za Serikali, mahakama, vituo vya polisi na maduka ya bidhaa mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi

Nuru Mwasampeta na Veronica Simba, Dar es Salaam Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Wizara yake imejipanga kuhakikisha inajengwa mitambo ya uchakataji madini (Mineral Processing Plants) hapa nchini ili kuondokana na utaratibu wa kusafirisha madini ghafi nje ya nchi na badala yake zisafirishwe bidhaa zitokanazo na madini husika ili kuongeza thamani na hivyo kukuza pato la nchi.  Aliyasema hayo  alipokutana na kuzungumza na Wawekezaji wa Kampuni ya Chinalco ya nchini...

 

11 years ago

Habarileo

Leo ni mapumziko

RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo kuwa ni Siku ya Mapumziko kwa Watanzania wote, ili kuendelea kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964. Rais Kikwete ametangaza uamuzi huo mjini Zanzibar jana, ambako aliungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusherehekea siku hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Leo siku ya mapumziko

RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo ni siku ya mapumziko kwa Watanzania wote kusherehekea Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapumziko ya JK yawaponza Strabag

WAFANYAKAZI wawili  na  vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa  kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...

 

10 years ago

Michuzi

KAZI NA MAPUMZIKO NDO MPANGO

Kijana ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa katika mapumziko juu ya kifaa chake cha kazi kama alivyo kutwa mapema leo na kamera ya Globu ya Jamii  jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani