Leo siku ya mapumziko
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo ni siku ya mapumziko kwa Watanzania wote kusherehekea Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mapumziko Siku ya Mapinduzi yakanganya wengi
9 years ago
Michuzi04 Nov
NEWS ALERT: KESHO ALHAMISI NI SIKUKUU NA SIKU YA MAPUMZIKO
9 years ago
Bongo504 Nov
Kikwete atangaza kesho (Alhamisi) kuwa siku ya mapumziko
![President-Kikwete-of-Tanzania](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/President-Kikwete-of-Tanzania-300x194.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameamua na ameitangaza kesho, Alhamisi, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko.
Rais Kikwete amefanya uamuzi huo, ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika sherehe za kuhitimisha Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne na kuingizwa madarakani Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Dar es Salaam leo...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/rais-kikwete1.jpg?width=650)
RAIS JK ATANGAZA KESHO KUWA SIKUKUU NA SIKU YA MAPUMZIKO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BlSO3TVinjkKiLEnGK2cgzohiX86XsYI6If87eKfz*xax23h8iJbYutT-HlpsF70lHeeNFygKPH34d-l*mDqaFb2djsPNN6U/IKULU.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATANGAZA JUMATATU JANUARI 13, 2014 SIKU YA MAPUMZIKO
11 years ago
Habarileo13 Jan
Leo ni mapumziko
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza leo kuwa ni Siku ya Mapumziko kwa Watanzania wote, ili kuendelea kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964. Rais Kikwete ametangaza uamuzi huo mjini Zanzibar jana, ambako aliungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusherehekea siku hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapumziko ya JK yawaponza Strabag
WAFANYAKAZI wawili na vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...
10 years ago
MichuziKAZI NA MAPUMZIKO NDO MPANGO