Serikali yafafanua mapumziko Des 9
SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Sep
Uchaguzi serikali za mitaa Des 14
KIPENGA cha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kinatarajiwa kupulizwa Novemba 30 mwaka huu na uchaguzi kufanyika Desemba 14 chini ya sheria zilizopo.
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Serikali yafafanua maoni ya Mwananchi
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali yafafanua kuhusu wakurugenzi Maliasili
SERIKALI imesema Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori, Profesa Jafari Kideghesho, hawajawahi kufukuzwa kazi ama kuadhibiwa.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sF4o_EyTw90/VigHROt-YMI/AAAAAAAIBlI/p5_j93Qn0eA/s72-c/ss.png)
Serikali yafafanua ukomo wa madaraka ya Rais na Mawaziri
![](http://1.bp.blogspot.com/-sF4o_EyTw90/VigHROt-YMI/AAAAAAAIBlI/p5_j93Qn0eA/s640/ss.png)
Taarifa iliyotolewa jioni ya leo, Jumatano, Oktoba 21, 2015, Ikulu, Dar es Salaam na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue imesema kuwa Serikali imetoa ufafanuzi huo kuwasaidia wananchi kuelewa maelekezo na matakwa ya Katiba na Sheria kuhusu...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Serikali yafafanua kuchelewa kwa ajira za walimu nchini
BREAKING NEWS, AJIRA ZIMETOKA!! SOMA HAPA AJIRA MPYA ZA WAALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14
<<< Bofya hapa >>>
11 years ago
Michuzi10 May
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Mkutano Mkuu TFF Des 19
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MKUTANO Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unatarajiwa kufanyika Desemba 19 na 20, mwaka huu.
Kikao cha Kamati ya utendaji cha Shirikisho hilo, kilichokutana Septemba 6 mwaka huu kimepanga kufanyika kwa mkutano huo huku ajenda zake zitatangazwa baadaye.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, alisema ajenda hizo zitatolewa kwa mujibu wa Katiba ya TFF.
“Tunawataarifu wajumbe wa mkutano mkuu tarehe ya...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Kesi ya kina Mbowe, Dk Slaa sasa Des 30
10 years ago
Habarileo04 Dec
Nusu ya wakazi Dar kutopiga kura Des. 14
ASILIMIA 42 ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ndiyo waliojitokeza kujiandikisha kwa ajili ya upigaji kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu.