Serikali yafafanua kuhusu wakurugenzi Maliasili
SERIKALI imesema Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori, Profesa Jafari Kideghesho, hawajawahi kufukuzwa kazi ama kuadhibiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 May
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Nyalandu apangua wakurugenzi Maliasili
11 years ago
Michuzi.jpg)
NEC yafafanua kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura
.jpg)
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YAWASIMAMISHA WAKURUGENZI WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI leo imetangaza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi watano (5) huku wengine wakipewa onyo kali katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akithibitisha kusimamishwa kazi kwa Wakurugenzi hao,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh. Hawa Ghasia amesema kwamba Wakurugenzi hao wametenda makosa yanayowaondolea sifa za kuwa Wakurugenzi.
“Makosa yafuatayo ndio yanayopelekea Wakurugenzi hawa kusimamishwa;Kuchelewa kuandaa vifaa vya...
10 years ago
Mwananchi02 Oct
Serikali yafafanua maoni ya Mwananchi
9 years ago
Habarileo01 Dec
Serikali yafafanua mapumziko Des 9
SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
EWURA yafafanua kuhusu hali ya upatikanaji wa mafuta kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta, (EWURA), Bw. Felix Ngamlagosi.
ewura 1.pdf
ewura 2.pdf
10 years ago
Michuzi
Serikali yafafanua ukomo wa madaraka ya Rais na Mawaziri

Taarifa iliyotolewa jioni ya leo, Jumatano, Oktoba 21, 2015, Ikulu, Dar es Salaam na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue imesema kuwa Serikali imetoa ufafanuzi huo kuwasaidia wananchi kuelewa maelekezo na matakwa ya Katiba na Sheria kuhusu...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Serikali yafafanua kuchelewa kwa ajira za walimu nchini
BREAKING NEWS, AJIRA ZIMETOKA!! SOMA HAPA AJIRA MPYA ZA WAALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14
<<< Bofya hapa >>>