Nyalandu apangua wakurugenzi Maliasili
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewaondoa katika nyadhifa zao, Wakurugenzi mbalimbali kwa sababu zilizoelezwa kushindwa kutekeleza majukumu yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali yafafanua kuhusu wakurugenzi Maliasili
SERIKALI imesema Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori, Profesa Jafari Kideghesho, hawajawahi kufukuzwa kazi ama kuadhibiwa.
10 years ago
Habarileo11 May
Nyalandu aonya watendaji Maliasili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewaonya watendaji wa wizara yake wanaojifanya miunguwatu na kushindwa kufuata taratibu za kazi na kunyanyasa wananchi, kuwa atawaondoa mchana kweupe.
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Lazaro Nyalandu: Waziri wa Maliasili na Utalii
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Rndz8mwXJFdrBJbEf9emh52dsl4EBJRyaLLckwPFpW2WXAIpVYOaGsKPMOeKTaLY2hSu5MajTe8PUeYtBU6Fas/1.jpg?width=650)
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII
11 years ago
Uhuru NewspaperZIARA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Waziri wa Maliasili na Utaliii, Nyalandu aipiga jeki ofisi ya Qadhi mkoa wa Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza muda mfupi kabla msaidizi wa Waziri wa maliasili na utalii, Helen Mtalemwa (wa pili kulia) kukabidhi shilingi milioni kumi kwa ajili ya kuipunguzia makali ya uendeshaji ofisi ya Qadhi mkoa wa Singida.
Msaidizi wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Helen Mtalemwa akimkabidhimsaada wa shilingi 10 milioni Katibu wa mahakama ya Qadhi mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau kwa ajili ya kupunguza makali ya uendeshaji wa mahakama hiyo mjini...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alipokutana na baadhi aya madiwani wa Loliondo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HyiJ_YuL1kA/VOXCDq7sYHI/AAAAAAAHEgA/h3NEa1wrEhg/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MHE. NYALANDU AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA KUTOKA NCHINI NORWAY
![](http://2.bp.blogspot.com/-HyiJ_YuL1kA/VOXCDq7sYHI/AAAAAAAHEgA/h3NEa1wrEhg/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gigbMTjv6QU/VOXCDv7CjQI/AAAAAAAHEf8/soz6ciSaD04/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)