Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barnes:Gerrard bado mzuri kwa Liverpool

Winga wa zamani wa klabu ya Liverpool John Barnes anaamini Gerrard bado ana uwezo wa kutosha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

John Barnes rated better than Sadio Mane by ex-Liverpool star

John Barnes rated better than Sadio Mane by ex-Liverpool star  Mirror OnlineWatch: Liverpool squad sing happy birthday to Sadio Mane in group call  PlanetFootballWatch: Reds celebrate Sadio Mane's birthday on Zoom  Liverpool FCWhy huge personality difference means Liverpool have a global icon and a 'simple person' in attack  Liverpool.com‘Mane’s great but Barnes was better’ – Liverpool legend was a ‘lights out’ talent, says Nicol  Goal IndiaView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mwananchi

Gerrard arudi Liverpool

Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard aibeba Liverpool FA

Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool haina mashaka na Gerrard

Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesema ana imani na Steven Gerrard ingawa walipoteza mchezo

 

9 years ago

BBCSwahili

Gerrard apanga kurejea Liverpool

Nahodha wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard anapanga kurejea katika klabu hiyo kama mkufunzi atakapoacha kucheza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard kuihama Liverpool

Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

 

10 years ago

Africanjam.Com

STEVEN GERRARD WARNS RAHEEM STERLING ABOUT LEAVING LIVERPOOL

Steven Gerrard has warned Raheem Sterling his career could stall if he leaves Liverpool.It’s looking increasingly likely the England international’s time at Anfield will come to an end this summer with contract talks have broken down in acrimonious fashion, with his agent, Aidy Ward, claiming his client wouldn’t sign a new deal even for £900,000 a week.
But Gerrard, who himself called time on his career on Merseyside at the end of the season, fears the 20-year-old could live to regret his...

 

9 years ago

Bongo5

Steven Gerrard arudi Liverpool kujiweka fiti zaidi

gerrard4

Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard amerudi katika mji wake wa nyumbani kufanya mazoezi na timu yake ya zamani tangu umalizike msimu wa Major League Soccer na timu ya LA Galaxy ya Marekani. Amekaribishwa na kocha Jurgen Klopp siku ya Jumatatu.

gerrard1
Steven Gerrard akielekea Melwood, Liverpool kufanya mazoezi

Mjerumani huyo amefanikiwa kumaliza mazungumzo haraka kuhusu kumrudisha Gerrard Anfield – kwani anarudi klabuni kufanya mazoezi.

klopp
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwasili katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo kauli ya Klopp kuhusu Gerrard kurejea au kutorejea Liverpool

steven-gerrard-jurgen-klopp_3383496

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kumekuwepo kwa taarifa mbalimbali zilizokuwa zikimuhusisha mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anachezea klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard ambaye kwa sasa yupo mapumzikoni kwao Wingereza.

Baada ya tetesi kuzidi kusambaa hatimaye kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amefunguka kuhusu Gerrard kama atarudi kuchezea Liverpool kwa mkopo au ataendelea kufanya mazoezi pekee na kikosi cha majogoo hao.

Kupitia kituo cha tv cha Sky Sports, Klopp...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani