Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushauri mzuri wa Membe kwa diaspora umechelewa

Kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe juzi kuwa atawapigania Watanzania wote wanaoishi nje ya nchi au diaspora ili wapate uraia wa nchi mbili ili hatimaye waweze kushiriki shughuli mbalimbali, zikiwamo za kuiletea nchi yao maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Waziri Membe afungua Kongamano la Pili la Diaspora nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaina Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Watanzania waishio nje (Diaspora) ambalo limebeba kaulimbiu isemayo "Tanzanian Diaspora and SMEs in Partnership for Development and Job-Creation". Kongamno hilo la siku mbili limefanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

9 years ago

Michuzi

Waziri Membe atembelea mabanda ya maonesho wakati wa Kongamano la Diaspora

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) (kushoto) akipata maelezo kuhusu na matumizi ya Gesi Asilia, Miradi na manufaa yake kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Bw. James Mataragio (kulia) alipotembelea banda la shirika hilo wakati wa Kongamano la Watanzania waishio Ughaibuni (Diaspora) .Waziri Membe akionyeshwa na Bw. Mataragio eneo bomba la gesi asilia lilipopita kwenye Mchoro wa Ramani ya...

 

9 years ago

Vijimambo

FIRM: CONFIRMED: BEYOND THE REASONABLE DOUBT: MWANA DIASPORA KUELEKEA BUNGENI KWA SAUTI YA DIASPORA


Ndugu zangu wana Diaspora; Nimeanza kazi ya kutengeneza vipeperushi na harakati nyingine za kampeni. Tunatarajia kuzindua kampeni Jumapil August, 30, 2015.  Leo nimetengeneza vipeperushi vya kuvaa shingoni 500 kwa Tsh 400/= each. Vinahitajika atleast  20,000. Nimetengeneza 16 vikubwa vya kuweka kwenye magari, Tsh 6250/= each. Jimbo ni kubwa sana; lina wapiga kura 143,189.
Kwa leo nimetumia Tsh 300,000/= kwa vipeperushi 500 vya shingoni na 16 vikubwa kwaajili ya kuweka kwenye magari. Vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Nakupongeza Waziri Saada lakini umechelewa

Naikumbuka kauli ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, wakati anaingia madarakani mwaka 2005.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni wakati mzuri kwa TFF kujitafakari upya

Kwa muda mrefu sasa, Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara imesimama na kuacha wachezaji K na makocha wa klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo wakiwa likizo ya lazima.

 

10 years ago

BBCSwahili

Barnes:Gerrard bado mzuri kwa Liverpool

Winga wa zamani wa klabu ya Liverpool John Barnes anaamini Gerrard bado ana uwezo wa kutosha

 

9 years ago

StarTV

Kukosekana kwa mfumo mzuri kwawanyima haki Watoto.

Kukosekana kwa mfumo mzuri wa ushirikishwaji wa watoto nchini katika masuala ya maendeleo ya halmashauri za miji, majiji na kutotengewa bajeti kumechangia watoto hao kutopata haki zao za msingi.

Kutokana na hali hiyo, viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza, wadau na jamii kwa ujumla wanapaswa kuhakikisha watoto wanapata haki za msingi kwa mujibu wa sheria.

Mwenyekiti mtendaji wa shirika la mtandao wa watoto na vijana mkoani Mwanza  Shaban Ramadhan  ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na...

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA DODOMA INATARAJIA UFAULU MZURI KWA WANAFUNZI

Na. Dennis Gondwe, DODOMAHALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inatarajia ufaulu mzuri kwa wanafunzi watakaofanya mtihani wakumaliza kidato cha sita mwaka 2020 kufuatia wanafunzi hao kuandaliwa vizuri na kupata muda wa kufanya marudio kwa mada walizofundishwa.
Kauli hiyo ilitolewa na Ofisa elimu sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuelezea utimilifu wa maandalizi ya mtihani wa kumaliza kidato cha sita mwaka 2020 katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani