HALMASHAURI YA DODOMA INATARAJIA UFAULU MZURI KWA WANAFUNZI
Na. Dennis Gondwe, DODOMAHALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inatarajia ufaulu mzuri kwa wanafunzi watakaofanya mtihani wakumaliza kidato cha sita mwaka 2020 kufuatia wanafunzi hao kuandaliwa vizuri na kupata muda wa kufanya marudio kwa mada walizofundishwa.
Kauli hiyo ilitolewa na Ofisa elimu sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuelezea utimilifu wa maandalizi ya mtihani wa kumaliza kidato cha sita mwaka 2020 katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV19 Dec
Ufaulu kwa wanafunzi waongezeka Dar
Idadi ya wanafunzi waliohitimu darasa la saba mwaka huu imepanda katika mkoa wa DAR ES SALAAM kutoka asilimia 78 mwaka 2014 hadi asilimia 83 mwaka 2015.
Hata hivyo mkoa huo ulikuwa na jumla ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba 59,704 waliosajiliwa kufanya mtihani na wanafunzi 715 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoro,vifo,ugonjwa na nyengine.
Idadi ya wanafunzi waliofaulu mtihani ni 49,063 wakiwemo wavulana 23,458 na wasichana 25,605 sawa na asilimia 83.17 mwaka huu...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Ufaulu wa wanafunzi Kigoma wapanda kwa asilimia 12.01
Kaimu Afisa Elimu wa mkoa wa Kigoma, Venance Babukege, akizungumza katika hafla ya upangaji matokeo ya darasa la saba mwaka 2015 mkoani humo mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Kiwango cha Elimu ya Msingi mkoani Kigoma kimeonekana kupanda kwa mwaka 2015 ikilinganisha na mwaka jana baada ya ufaulu wa wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu kupanda kwa asilimia 12.01.
Akizungumza katika hafla ya upangaji matokeo ya darasa la saba mwaka...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Shule ya Msingi Mpago: Ufaulu mzuri chini ya miti
9 years ago
StarTV02 Nov
Hofu ya ufaulu yatanda kwa wanafunzi wa Kidato cha nne
Ikiwa zimebaki siku chache ya kufanyika mitihani ya kidato cha nne bado hofu ya ufaulu kwa wanafunzi wa kidato hicho imetanda ikilinganishwa na ufaulu kwa wahitimu wa kidato cha Sita.
Wadau wa elimu wanaelezwa kuwa kiwango cha ufaulu cha kidato cha nne kipo chini ikilinganishwa na ufaulu wa kidato cha sita hali inayosababisha vijana wengi kushindwa kuendelea.
Mkurugenzi wa shule ya sekondari Kassa Charity anasema elimu ndio msingi wa maendeleo kwa kila nchi hivyo amewataka wanafunzi kusoma...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
10 years ago
Habarileo25 Feb
RC Dar amuangukia JK ufaulu wa wanafunzi
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki, amemuomba Rais Jakaya Kikwete autupie jicho mkoa wa Dar es Salaam na kusaidia kutafutia ufumbuzi, tatizo la idadi kubwa ya wanafunzi waliojitokeza kuingia Kidato cha Kwanza mwaka huu, tofauti na uwezo wa shule za mkoa huo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bBmz2bJgF-g/U_XUQ7JAP7I/AAAAAAAGBKE/F3Xkq_odWzU/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Mamlaka ya Elimu Tanzania inatarajia kukabidhi madawati 2000 kwa shule za Msingi 10
![](http://2.bp.blogspot.com/-bBmz2bJgF-g/U_XUQ7JAP7I/AAAAAAAGBKE/F3Xkq_odWzU/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qPFqQEZKfG0/U_XUQhg7WBI/AAAAAAAGBKM/DrMZCM79aSA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9JlL1qf062o/Xmt7LfuwnhI/AAAAAAALi5o/zwaSesFl_CscV67oqXAb0QQgFJV6rIspACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1AA-768x630.jpg)
SPIKA NDUGAI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA DODOMA, MKURUGENZI HALMASHAURI YA TEMEKE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9JlL1qf062o/Xmt7LfuwnhI/AAAAAAALi5o/zwaSesFl_CscV67oqXAb0QQgFJV6rIspACLcBGAsYHQ/s640/Pic-1AA-768x630.jpg)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-2AA-1-1024x713.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-3AAA-1-1024x643.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Feb
BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO