Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule ya Msingi Mpago: Ufaulu mzuri chini ya miti

Unapofika katika kijiji cha Mpago kilichopo wilayani Biharamulo huwezi kuamini kama kuna shule hadi utakapoona wanafunzi waliovaa sare.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Matokeo shule za msingi, nusu ziko chini ya ufaulu

PAMOJA na matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014 kuonesha ufaulu wake kuongezeka kwa asilimia 6.38, zaidi ya nusu za shule hizo ziko kwenye kundi la wastani wa chini wa ufaulu.

 

10 years ago

Mwananchi

Siri ya ufaulu Shule ya Msingi ya Twibhoki

Ni mafanikio makubwa ya kitaaluma kwa shule iliyoshika nafasi ya 28 mwaka jana, kukwea hadi hadi nafasi ya kwanza mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA DODOMA INATARAJIA UFAULU MZURI KWA WANAFUNZI

Na. Dennis Gondwe, DODOMAHALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inatarajia ufaulu mzuri kwa wanafunzi watakaofanya mtihani wakumaliza kidato cha sita mwaka 2020 kufuatia wanafunzi hao kuandaliwa vizuri na kupata muda wa kufanya marudio kwa mada walizofundishwa.
Kauli hiyo ilitolewa na Ofisa elimu sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuelezea utimilifu wa maandalizi ya mtihani wa kumaliza kidato cha sita mwaka 2020 katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Nchi imesheheni miti ya mbao, watoto shuleni wanakaa chini

Kuanzia mwaka 2002 Tanzania ilishuhudia ongezeko la shule za msingi na sekondari, hasa baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya elimu kwa ngazi za msingi na sekondari, maarufu kwa vifupi vya MMEM na MMES.

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.

Mgeni Rasmi Balozi Kassimu Mwawado, akikata utepe ili kufungua Ofisi ya walimu wa shule ya msingi Muhimbili, iliyokarabatiwa na kuweka viti 29 na meza 8 na wanafuzi waliohitimu darasa la saba katika shule hiyo Mwaka 1988, pamoja na kiti na meza ya kisasa katika ofisi ya Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo katika hafra fupi iliyoandaliwa na wanafunzi hao ikiwa imehudhuliwa na walimu wa shule hiyo wa tangu mwaka 1978. Walimu wa Shule ya Msingi Muhimbili wakifurahia kupewa viti vipya pamoja na meza na...

 

10 years ago

Vijimambo

FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE

Taasis ya Flaviana Matata 'FMF' ya Mwanamitindo Flaviana Matata aishie New York ,Nchini Marekani. Mwaka jana ilisaidia watoto 3000 kwa kuwapa vifaa vya kujifunzia.Mwaka huu itaendelea kuwasaidia Watoto hao hao wakati inaangalia namna ya kutatua matatizo mengine yanayozikabili Shule hizo ili kuboresha elimu nchini Yakiwemo mavazi, majengo na hata vyakula vya shule kwa shule za pembezoni Zoezi litaendelea kwa shule zingine za mikoani ukiwemo Mkoa wa Shinyanga, Lindi na Arusha kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao

Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Muhimbili Mwaka 1988, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza. Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Muhimbili Mwaka 1988, Bi. Usia Nkhoma Ledama akionesha sehemu ya msaada wa viti na meza na ofisi iliyokarabatiwa na umoja wao. Mkuu wa Shule ya Msingi Muhimbili wa sasa, Dafrossa Asenga (katikati) akizungumza kuwakaribisha wageni katika hafla ya kukabidhiwa msaada wa viti na meza...

 

11 years ago

Habarileo

‘Ufaulu shule za Serikali, binafsi haupishani’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaSERIKALI imesema pamoja na matokeo ya kidato cha nne kuonesha hakuna shule zake zilizoshika nafasi katika 10 bora, hali ya ufaulu ni nzuri na haipishani na zisizo za Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani