Matokeo shule za msingi, nusu ziko chini ya ufaulu
PAMOJA na matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014 kuonesha ufaulu wake kuongezeka kwa asilimia 6.38, zaidi ya nusu za shule hizo ziko kwenye kundi la wastani wa chini wa ufaulu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Shule ya Msingi Mpago: Ufaulu mzuri chini ya miti
Unapofika katika kijiji cha Mpago kilichopo wilayani Biharamulo huwezi kuamini kama kuna shule hadi utakapoona wanafunzi waliovaa sare.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Siri ya ufaulu Shule ya Msingi ya Twibhoki
Ni mafanikio makubwa ya kitaaluma kwa shule iliyoshika nafasi ya 28 mwaka jana, kukwea hadi hadi nafasi ya kwanza mwaka huu.
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka
>Baraza la Mitihani nchini Necta leo limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na kusema kuwa umefaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61.
9 years ago
Mwananchi31 Oct
Matokeo darasa la saba hadharani, ufaulu juu kwa asilimia 11
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo limetangaza matokeo ya darasa la Saba iliyofanyika nchini kote kuanzia Septemba 2 hadi Septemba 10, mwaka huu ambapo watahiniwa 518, 034 kati ya 763, 602 waliofanya mitihani hiyo wamefaulu.
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE
Taasis ya Flaviana Matata 'FMF' ya Mwanamitindo Flaviana Matata aishie New York ,Nchini Marekani. Mwaka jana ilisaidia watoto 3000 kwa kuwapa vifaa vya kujifunzia.Mwaka huu itaendelea kuwasaidia Watoto hao hao wakati inaangalia namna ya kutatua matatizo mengine yanayozikabili Shule hizo ili kuboresha elimu nchini Yakiwemo mavazi, majengo na hata vyakula vya shule kwa shule za pembezoni Zoezi litaendelea kwa shule zingine za mikoani ukiwemo Mkoa wa Shinyanga, Lindi na Arusha kwa...
10 years ago
Vijimambo02 Aug
Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0145.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0178.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Habarileo02 Mar
‘Ufaulu shule za Serikali, binafsi haupishani’
SERIKALI imesema pamoja na matokeo ya kidato cha nne kuonesha hakuna shule zake zilizoshika nafasi katika 10 bora, hali ya ufaulu ni nzuri na haipishani na zisizo za Serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania