Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka
>Baraza la Mitihani nchini Necta leo limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na kusema kuwa umefaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 YATANGAZWA
10 years ago
TZToday16 Jul
10 years ago
Habarileo16 Jul
Ufaulu kidato cha sita juu
WATAHINIWA 38,853 kati ya watahiniwa 40,753 waliofanya mtihani wa Kidato cha Sita kwa mwaka 2015, wamefaulu mitihani yao ikiwa ni ongezeko la asilimia 1.67 ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana.
11 years ago
Michuzi21 Feb
MATOKEO KIDATO CHA NNE YATANGAZWA LEO
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Ufaulu kidato cha sita watia shaka wadau wa elimu
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
Matokeo ya kidato cha nne yatangazwa, Sekondari ya Kaizirege yaongoza..List kamili iko hapa
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini,Dk. Charles Msonde.
Ufaulu Kidato cha Nne 2014 wapanda kwa asilimia 10
Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha IV mwaka 2014 wamefaulu ikiwa ni ongezeko la 10.08% kulinganisha na mwaka 2013 ambapo wanafunzi 235,227 sawa na 58.25 walifualu.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dkt Charles Msonde
Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha...
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Peruzi matokeo ya Kidato cha Sita hapa
Kaimu Katibu Mkuu wa baraza la Taifa la Mitihani, Dk. Charles E. Msonde akisoma matokeo hayo ya mitihani ya kidato cha sita kwa mitihani iliyofanyika mwaka huu nchini kote.
BOFYA HAPA KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014
11 years ago
Michuzi16 Jul
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 YATOKA
Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.
SHULE 10 ZILIZOONGOZA1. Igowole2. Feza Boys3. Kisimiri4. Iwawa5. Kibaha6. Marian Girls7. Nangwa8. Uwata9. Kibondo10....
11 years ago
Mwananchi19 Jul
‘Matokeo kidato cha sita yanatia shaka’