Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2015 (ACSEE 2015 EXAMINATION RESULTS) YATANGAZWA

MATOKEO ACSEE 2015

MATOKEO ACSEE 2015 Bofya Hapa:BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA-NECTA

TZToday

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TZToday

11 years ago

GPL

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 YATANGAZWA

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka.
Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825
Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54
Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.
SHULE 10 ZILIZOONGOZA
1. Igowole
2. Feza...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka

>Baraza la Mitihani nchini Necta leo limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na kusema kuwa umefaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61.

 

10 years ago

GPL

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2015

 BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO HAYA>>>

 

11 years ago

Michuzi

MATOKEO KIDATO CHA NNE YATANGAZWA LEO

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani  la Tanzania,  Dk. Charles Msonde, akitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT), Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Naibu Katibu Mtendaji wa  baraza hilo, Edward Haule. (PICHA NA KHAMIS MUSSA) Kupata matokeo ingia kwenye tovuti ya NECTA ya:  http://www.necta.go.tz/index.php  Kisha bofya sehemu ilioandikwa MATOKEO YA CSEE 2013 & MATOKEO YA QT 2013 Upande wa juu  kulia pembeni mwa...

 

10 years ago

GPL

NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA 6 NA UALIMU 2015

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2015 kupitia tovuti yao. Kuyaona ingia:==>>…

 

10 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya kidato cha nne yatangazwa, Sekondari ya Kaizirege yaongoza..List kamili iko hapa

Dr-Charles-Msonde

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini,Dk. Charles Msonde.

Ufaulu Kidato cha Nne 2014 wapanda kwa asilimia 10

Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha IV mwaka 2014 wamefaulu ikiwa ni ongezeko la 10.08% kulinganisha na mwaka 2013 ambapo wanafunzi 235,227 sawa na 58.25 walifualu.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dkt Charles Msonde
Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani