Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tulipofikia tusiruhusu tena siasa iendeshe uchumi

 “chama kushika hatamu za uongozi”; “chama kimoja”; “zidumu fikra za mwenyekiti”, kwa moyo wa dhati kabisa, lazima niseme kwamba, kwa mtindo huo, Watanzania tutajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mafuruki: Siasa zinayumbisha uchumi

Mwenyekiti wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi Tanzania (CEO’s Roundtable), Ali Mufuruki amesema uchumi wa Tanzania unayumba kutokana na makosa makuu matatu yaliyofanywa na watawala tangu nchi ilipopata uhuru miaka 53 iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Serikali iache siasa kwenye mambo ya uchumi

>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuacha siasa kwenye masuala ya kiuchumi, ukiwamo mgogoro kati ya Tanzania na Kenya kuhusu sekta ta utalii.

 

9 years ago

GPL

TUSIRUHUSU AMANI IVURUGWE NCHINI

TUPO kwenye kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu, tumuombe Mungu siku hiyo ikifika tupige kura kwa amani na kupata viongozi wetu kwa njia ya haki. Nianze kwa kusema kila mtu mzalendo wa nchi hii anaombea uchaguzi huo uwe wa haki na amani itawale kwa sababu baada ya kupiga kura, kuna maisha yatakayoendelea kwa kila Mtanzania na hata kwa raia wa nje aliyeko nchini. Kabla ya kampeni kulikuwa na makongamano ambapo...

 

11 years ago

GPL

KWA TULIPOFIKIA, YATUPASA TUJIANGALIE UPYA

Na Eric Shigongo MARA kwa mara nimekuwa nikisisitiza juu ya suala la kumshukuru Mwenyezi Mungu, nikisema kwamba bila yeye, yote tunayoyafanya hapa duniani ni bure kabisa. Baadhi ya watu, wamekuwa wakiniona kama ninayejifanya nimeokoka. Waziri Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe. Ninaomba kusisitiza, uwe umeokoka, uwe jambazi, uwe vyovyote unavyoweza kuwa, ni lazima umuombe Mungu kwa lolote unalotaka kufanikiwa hapa ulimwenguni....

 

11 years ago

Mwananchi

SIASA: Chadema: Hatuchukui tena makapi ya CCM

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitasubiri wanachama watakaoachwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao.

 

9 years ago

Michuzi

HASSANOO NA WENZAKE WAACHIWA NA KUKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI


Na Mwene Nantaha wa Blogu ya Jamii.  Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoani Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo (44) na wenzake leo waliachiwa huru na kisha kukamatwa  na kushtakiwa upya kwa mashtaka ya uhujumu uchumi. 
Kadhalika Hasanoo alifutiwa mashitaka matatu ya uhujumu uchumi pamoja na kusafirisha pembe za ndovu kutoka Dar es Salaam kwenda Hong Kong, zenye thamani ya Sh. bilioni 1.1, chini ya kifungu cha 91 kidogo cha (1) mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji tena Kiteto, Serikali yawaangukia viongozi wa siasa

WAKATI mkulima Hassan Kondeya ameuawa jana na kundi la wafugaji wa kabila la Masai, Serikali imetoa kauli kuhusiana na hali tete ya mauaji ya mara kwa mara wilayani humo. Akitoa...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi

>Maendeleo ya uchumi na jamii ni mchakato wa ukuaji wa kasi wa pato la taifa na mabadiliko ya mfumo wa uchumi kutoka kutegemea kilimo, ufugaji na uvunaji wa mali ya asili na kuelekea kutegemea viwanda na huduma za kisasa. Nchi maskini zinategemea sana sekta za msingi hususan kilimo, ufugaji na uvuvi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani