Tulipofikia tusiruhusu tena siasa iendeshe uchumi
 “chama kushika hatamu za uongoziâ€; “chama kimojaâ€; “zidumu fikra za mwenyekitiâ€, kwa moyo wa dhati kabisa, lazima niseme kwamba, kwa mtindo huo, Watanzania tutajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Mafuruki: Siasa zinayumbisha uchumi
Mwenyekiti wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi Tanzania (CEO’s Roundtable), Ali Mufuruki amesema uchumi wa Tanzania unayumba kutokana na makosa makuu matatu yaliyofanywa na watawala tangu nchi ilipopata uhuru miaka 53 iliyopita.
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Mbowe: Serikali iache siasa kwenye mambo ya uchumi
>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuacha siasa kwenye masuala ya kiuchumi, ukiwamo mgogoro kati ya Tanzania na Kenya kuhusu sekta ta utalii.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-gJiCE87YYpXvnjpZ0aGLlY5D7D-yjEvv3NnFht1I1beM8qGlnBLzAeVT0TXN6HNnlHpYTup25YRL1jO0IyqCfM0iILFFMyp/Mwalimunyerere.jpg?width=650)
TUSIRUHUSU AMANI IVURUGWE NCHINI
TUPO kwenye kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu, tumuombe Mungu siku hiyo ikifika tupige kura kwa amani na kupata viongozi wetu kwa njia ya haki. Nianze kwa kusema kila mtu mzalendo wa nchi hii anaombea uchaguzi huo uwe wa haki na amani itawale kwa sababu baada ya kupiga kura, kuna maisha yatakayoendelea kwa kila Mtanzania na hata kwa raia wa nje aliyeko nchini. Kabla ya kampeni kulikuwa na makongamano ambapo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg14qybnN*jZdKuwWAEPwpnolxkLDchYHAnGlMc*wVDC1W21uUwYuwB4jtcx8ys5HzOQrca-tIby7NcIH0PeI320/pasua.jpg?width=650)
KWA TULIPOFIKIA, YATUPASA TUJIANGALIE UPYA
Na Eric Shigongo MARA kwa mara nimekuwa nikisisitiza juu ya suala la kumshukuru Mwenyezi Mungu, nikisema kwamba bila yeye, yote tunayoyafanya hapa duniani ni bure kabisa. Baadhi ya watu, wamekuwa wakiniona kama ninayejifanya nimeokoka. Waziri Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe. Ninaomba kusisitiza, uwe umeokoka, uwe jambazi, uwe vyovyote unavyoweza kuwa, ni lazima umuombe Mungu kwa lolote unalotaka kufanikiwa hapa ulimwenguni....
11 years ago
Mwananchi08 Jul
SIASA: Chadema: Hatuchukui tena makapi ya CCM
>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitasubiri wanachama watakaoachwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao.
9 years ago
MichuziHASSANOO NA WENZAKE WAACHIWA NA KUKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
Na Mwene Nantaha wa Blogu ya Jamii. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoani Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo (44) na wenzake leo waliachiwa huru na kisha kukamatwa na kushtakiwa upya kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
Kadhalika Hasanoo alifutiwa mashitaka matatu ya uhujumu uchumi pamoja na kusafirisha pembe za ndovu kutoka Dar es Salaam kwenda Hong Kong, zenye thamani ya Sh. bilioni 1.1, chini ya kifungu cha 91 kidogo cha (1) mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba....
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Mauaji tena Kiteto, Serikali yawaangukia viongozi wa siasa
WAKATI mkulima Hassan Kondeya ameuawa jana na kundi la wafugaji wa kabila la Masai, Serikali imetoa kauli kuhusiana na hali tete ya mauaji ya mara kwa mara wilayani humo. Akitoa...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi
>Maendeleo ya uchumi na jamii ni mchakato wa ukuaji wa kasi wa pato la taifa na mabadiliko ya mfumo wa uchumi kutoka kutegemea kilimo, ufugaji na uvunaji wa mali ya asili na kuelekea kutegemea viwanda na huduma za kisasa. Nchi maskini zinategemea sana sekta za msingi hususan kilimo, ufugaji na uvuvi.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania