Mbowe: Serikali iache siasa kwenye mambo ya uchumi
>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuacha siasa kwenye masuala ya kiuchumi, ukiwamo mgogoro kati ya Tanzania na Kenya kuhusu sekta ta utalii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Dec
Serikali yaombwa kuwaingiza wafugaji kwenye bajeti ili kuinua uchumi wa taifa
Chama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa kimeitaka Serikali kuwatambua kuwa nao ni miongoni mwa Sekta muhimu inayoweza kuinua uchumi wa nchi na wananchi wake kwa kulipa mapato na kutaka kuingizwa katika bajeti ya walipa kodi.
Wafugaji wamesema Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo ya asili lakini wengi wao wanaishi katika hali duni na hata serikali imeshindwa kupata kikamilifu matunda ya kuwepo kwa rasilimali hiyo.
Hayo wameyasema katika Mkutano wao na Waziri wa Kilimo,Mifugo...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Serikali iache demokrasia ishamiri
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’
SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali iache maigizo, itekeleze majukumu haya
10 years ago
Mtanzania28 May
Dk. Mengi: Serikali iache kuwashusha thamani vijana
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi ameitaka Serikali kuacha kuwashusha thamani vijana kuwa hawawezi kufanya jambo lolote.
Alisema badala yake itekeleze sera ya uwezeshaji kwa vitendo kama njia ya kuwakwamua katika lindi la umaskini.
Mengi alikuwa akizindua mradi wa ‘Airtel Fursa’ Dar es Salaam jana, ambao unaendeshwa na kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania kuwasaidia vijana kukuza na kuanzisha biashara.
Alisema vijana wengi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIls9I7MEAhOYJDhrGODQHzKe80LO-5XF2AZCkq3mPJxIjgNzXbKvJVBxJLPdhyQg3Nis0G5*7QYadkNHwcssBKz/chikawa.png?width=650)
SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA
9 years ago
Mwananchi30 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Mafuruki: Siasa zinayumbisha uchumi
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Tulipofikia tusiruhusu tena siasa iendeshe uchumi