Serikali iache maigizo, itekeleze majukumu haya
Mambo yanayoendelea kufanyika nchini hivi sasa wakati wananchi wakitakiwa kujielekeza katika masuala muhimu yanayohusu mustakabali wa Taifa letu yanaweza kufananishwa na maigizo kama siyo sarakasi. Katika historia ya nchi yetu, hakuna wakati ambapo wananchi walijikuta wakitakiwa kutekeleza majukumu makubwa ya kitaifa kwa wakati mmoja kama ilivyo mwaka huu. Bahati nzuri wananchi wanatambua kwamba majukumu hayo ni mazito na muhimu, hivyo yanahitaji umakini mkubwa katika utekelezaji wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Serikali iache demokrasia ishamiri
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’
SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...
10 years ago
Mtanzania28 May
Dk. Mengi: Serikali iache kuwashusha thamani vijana
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi ameitaka Serikali kuacha kuwashusha thamani vijana kuwa hawawezi kufanya jambo lolote.
Alisema badala yake itekeleze sera ya uwezeshaji kwa vitendo kama njia ya kuwakwamua katika lindi la umaskini.
Mengi alikuwa akizindua mradi wa ‘Airtel Fursa’ Dar es Salaam jana, ambao unaendeshwa na kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania kuwasaidia vijana kukuza na kuanzisha biashara.
Alisema vijana wengi...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Mbowe: Serikali iache siasa kwenye mambo ya uchumi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIls9I7MEAhOYJDhrGODQHzKe80LO-5XF2AZCkq3mPJxIjgNzXbKvJVBxJLPdhyQg3Nis0G5*7QYadkNHwcssBKz/chikawa.png?width=650)
SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA
9 years ago
Mwananchi30 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Je hatua ya Serikali kuu kuchukua majukumu ya utawala wa kaunti ya Nairobi inamaana gani?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
Rais Magufuli Agawa Usafiri kwa Maafisa Tarafa Rukwa Huku Wakikisitizwa kutimiza Majukumu ya Serikali Hasa Kutoa Elimu ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_0953AAA-1024x685.jpg)
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_0957AAA-1024x685.jpg)
Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa...