Serikali iache demokrasia ishamiri
Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, imetoa tamko kali la kutishia kuanza kutekeleza sheria inayodhibiti asasi za kijamii na kidini, ikizitaka taasisi hizo kuacha mara moja kutoa matamko yanayolenga kuwashawishi waumini wao waikatae Katiba Inayopendekezwa na pia kuwapangia nini cha kufanya katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwamba watakaobainika watachukuliwa hatua kali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’
SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali iache maigizo, itekeleze majukumu haya
10 years ago
Mtanzania28 May
Dk. Mengi: Serikali iache kuwashusha thamani vijana
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi ameitaka Serikali kuacha kuwashusha thamani vijana kuwa hawawezi kufanya jambo lolote.
Alisema badala yake itekeleze sera ya uwezeshaji kwa vitendo kama njia ya kuwakwamua katika lindi la umaskini.
Mengi alikuwa akizindua mradi wa ‘Airtel Fursa’ Dar es Salaam jana, ambao unaendeshwa na kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania kuwasaidia vijana kukuza na kuanzisha biashara.
Alisema vijana wengi...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Mbowe: Serikali iache siasa kwenye mambo ya uchumi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIls9I7MEAhOYJDhrGODQHzKe80LO-5XF2AZCkq3mPJxIjgNzXbKvJVBxJLPdhyQg3Nis0G5*7QYadkNHwcssBKz/chikawa.png?width=650)
SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA
9 years ago
Mwananchi30 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TV-vdcRhql4/Xmt-8mCtT1I/AAAAAAALi6E/vlYYZ1jNPeAwxfhFDmTByxgNvu5ZtSPBQCLcBGAsYHQ/s72-c/728A7091AA-768x512.jpg)
WADAU KUISHAWISHI SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA DEMOKRASIA,UTAWALA BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TV-vdcRhql4/Xmt-8mCtT1I/AAAAAAALi6E/vlYYZ1jNPeAwxfhFDmTByxgNvu5ZtSPBQCLcBGAsYHQ/s640/728A7091AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kupambana na vitendo vya ukatili wa Kijinsia (CAGBV), Sophia Komba, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya LHRC akiongea na Vyombo vya habari katika kikao hicho kilichowakutanisha wadau wa haki za binadamu ili kuupitia mkataba wa Afrika unaohusu demokrasia, uchaguzi , utawala bora na haki za binadamu kwa lengo la kuweka mikakati ya kushawishi serikali iweze kuuridhia. Mkutano huo ulifanyika Dodoma mapema leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/728A7014AA-1024x682.jpg)
Afisa Programu na Mratibu wa Ofisi Dodoma wa Kituo Sheria...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s72-c/49227218_303.jpg)
SERIKALI ZA KIGENI ZALAANI KUKAMATWA WANAHARAKATI WA DEMOKRASIA HONG KONG
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s400/49227218_303.jpg)
Miongoni mwa waliokamatwa ni wanasiasa wakongwe, tajiri wa vyombo vya habari na wanasheria waandamizi. Chama cha Kimataifa cha Wanasheria kimesema maafisa wa Hong Kong hawapaswi kukiuka haki za binaadamu na mfumo wa kisheria lazima uweke ulinzi dhidi ya ukiukaji wowote wa mamlaka wakati ulimwengu...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
CCM iache tabia ya kinyonga
KILA siku katika maisha yangu nimekuwa nikijifunza mbinu mpya za watu wa Zanzibar za kupeleka ujumbe, kufurahia au kukejeli jambo. Hivi karibuni nilipigwa butwaa nilipokuwa katika eneo la Darajani mjini...