Je hatua ya Serikali kuu kuchukua majukumu ya utawala wa kaunti ya Nairobi inamaana gani?
Hatua ya kuyahamisha majukumu muhimu kutoka kwa serikali ya Kaunti ya Nairobi hadi kwa Serikali Jumanne ni hatua ambayo imewapata wengi nchini Kenya kwa mshangao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jan
SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--e1ayHI3j0E/Xoq-qfIP5JI/AAAAAAALmJQ/loncYGTLySA2_8BZoEZtx0FIuseQCT8JQCLcBGAsYHQ/s72-c/3-4.jpg)
SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA KUNUSURU ZIWA BASSOTU KUJAA NA KUSABABISHA MAAFA KWA WAKAZI WA KARIBU NA ZIWA HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/--e1ayHI3j0E/Xoq-qfIP5JI/AAAAAAALmJQ/loncYGTLySA2_8BZoEZtx0FIuseQCT8JQCLcBGAsYHQ/s640/3-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1-1-1.jpg)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akipimwa joto la mwili alipowasili Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kwa ajili ya ziara wilayani Hanang kuangalia athari za kufurika kwa Ziwa Basotu na kuzingira makazi ya wanachi.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Bavicha watishia kuchukua hatua
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Hatua za kuchukua unapoibiwa simu yako
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Torongey awataka Chalinze kuchukua hatua
ALIYEKUWA mgombea ubunge Chalinze kwenye uchaguzi mdogo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mathayo Torongey, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuacha kulalamika, badala yake wachukue hatua katika uchaguzi ujao....
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Umoja wa mataifa kuchukua hatua Yemen
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Je ni hatua gani zimechukuliwa na EU kuzuia maambukizi?
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10