UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi
>Maendeleo ya uchumi na jamii ni mchakato wa ukuaji wa kasi wa pato la taifa na mabadiliko ya mfumo wa uchumi kutoka kutegemea kilimo, ufugaji na uvunaji wa mali ya asili na kuelekea kutegemea viwanda na huduma za kisasa. Nchi maskini zinategemea sana sekta za msingi hususan kilimo, ufugaji na uvuvi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeIOCOaueNc/VRrEKiMEgOI/AAAAAAAHOlo/IqsGRxrpJ8o/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
9 years ago
Government Should Support Local Production30 Oct
Lesson From Uchumi
AllAfrica.com
In the same week that Uchumi Supermarkets closed its business in Uganda, the press reported the latest government programme for women, the Uganda Women Entrepreneur Programme (UWEP). And, as Saturday Monitor editorial rightly observes, the ...
11 years ago
TheCitizen07 Aug
Uchumi Supermarket: This is our story
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Uchumi wa Urusi wayumba
9 years ago
BBCSwahili13 Aug
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Pombe yaathiri uchumi Rombo
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Waaswa kuinua uchumi wa nchi
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali, wadau wajadili uchumi
TAASISI ya African Community of Practice (AfCoP), imekutanisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na asasi za kijamii katika semina ya siku nne kwa ajili ya kujadili ripoti ya Tanzania ya tathmani ya kiuchumi na namna ya kufanikisha uchumi kupanda na kuwafikia wananchi.