Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Na Martin Nyeka UDBSKATIKA miaka mitano iliyopita, idadi ya watumiaji wa simu katika eneo la Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara imeongezeka mara dufu.
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
Moja ya teknolojia hizo bunifu ni huduma za afya kidijitali (m-health). Katika nchi nyingi huduma hii imekuwa muhimu ikisaidia watu kupata taarifa za afya na hospitali kutunza kumbukumbu kwa ufanisi zaidi.
Tanzania, huduma hizi za afya kwa njia ya simu zimesaidia watu wengi wazima na wagonjwa kupata taarifa za afya, njia za...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao
Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.
Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aQe6gJyu-co/Xm3DhK7kN0I/AAAAAAALjtU/yLV8NsLgUDY3kvG0dNYHf8oxEArcWNbGACLcBGAsYHQ/s72-c/5ea89720-16c0-4695-b7ce-6eb34b67a3d0.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Afrika kujadili nafasi yake katika uchumi wa dunia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LN40K3U6fb0/Xl9-WAiOEZI/AAAAAAALg3s/bt5P9hbT0b4TTiQMr8b-0dWcb16RIr8ogCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B10.33.07.jpeg)
Tufanye yafuatayo ili kuvuna matunda ya uchumi wa kidijitali
![](https://1.bp.blogspot.com/-LN40K3U6fb0/Xl9-WAiOEZI/AAAAAAALg3s/bt5P9hbT0b4TTiQMr8b-0dWcb16RIr8ogCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B10.33.07.jpeg)
Katika eneo la kilimo nako teknolojia inabadilisha mambo kuwa bora zaidi. Wakulima katika nchi za...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
10 years ago
MichuziKituo cha Kuendeleza Misitu Kujengwa Tanzania katika Nyanda za Juu Kusini
Azimio hilo linasisitiza zaidi kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Programu ya Panda Miti Kibiashara, itahakikisha kuuundwa kwa Ushirikiano kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) kwa manufaa ya...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Tanzania na fursa chekwa katika teknolojia ya habari