Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania

Na Martin Nyeka UDBSKATIKA miaka mitano iliyopita, idadi ya watumiaji wa simu katika eneo la Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara imeongezeka mara dufu. 
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi Tanzania

KATIKA miaka ya karibuni ukuaji wa teknolojia ya kidijitali umezipa nchi nyingi faida mbalimbali za kibunifu ambazo zinazochochea maendeleo ya watu na ukuaji wa uchumi.
Moja ya teknolojia hizo bunifu ni huduma za afya kidijitali (m-health). Katika nchi nyingi huduma hii imekuwa muhimu ikisaidia watu kupata taarifa za afya na hospitali kutunza kumbukumbu kwa ufanisi zaidi.
Tanzania, huduma hizi za afya kwa njia ya simu zimesaidia watu wengi wazima na wagonjwa kupata taarifa za afya, njia za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao

pic 9

Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali  kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.

Pic 1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.

pic 2

Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imetoa ushauri  kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuongeza  uwekezaji  katika  kuendeleza  Sayansi, Teknolojia na Ubunifu nchini baada ya kuridhishwa na utendaji wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela katika eneo hilo.

Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...

 

9 years ago

BBCSwahili

Afrika kujadili nafasi yake katika uchumi wa dunia

Mawaziri kutoka Mataifa 160 wanakongamana hii leo jijini Nairobi ikiwa siku ya kwanza ya Kongamano la Shirika la Biashara Dunani, WTO.

 

5 years ago

Michuzi

Tufanye yafuatayo ili kuvuna matunda ya uchumi wa kidijitali

Inafahamika wazi namna gani teknolojia imesaidia nchi nyingi kuendelea kiuchumi. Hii inadhihirika wazi pia kwa nchi za Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara ambapo matumizi ya simu za mkononi na mtandao wa intaneti vimesaidia kukuza fursa nyingi za biashara na mamilioni ya watu. Sasa teknolojia ndiyo inaendesha biashara, kuanzia kuagiza malighafi hadi kupokea malipo toka kwa wateja.
Katika eneo la kilimo nako teknolojia inabadilisha mambo kuwa bora zaidi. Wakulima katika nchi za...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi

>Maendeleo ya uchumi na jamii ni mchakato wa ukuaji wa kasi wa pato la taifa na mabadiliko ya mfumo wa uchumi kutoka kutegemea kilimo, ufugaji na uvunaji wa mali ya asili na kuelekea kutegemea viwanda na huduma za kisasa. Nchi maskini zinategemea sana sekta za msingi hususan kilimo, ufugaji na uvuvi.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji

Mkurugenzi wa Eneo la Mamlaka ya Ukanda Maalum wa Uwekezaji (EPZA) nchini, Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia akizungumza na Bw. Li Xuhang, Naibu Mkuu wa masuala ya Siasa katika Ubalozi wa China hapa nchini kuhusu mikakati ya Serikali ya Tanzanania katika kuhamasisha uwekezaji nchini katika Maeneo Maalum na kuimarisha ushirikiano na Serikali ya China katika masuala ya uwekezaji kwenye Maeneo Maalum. Mazungumzo yao yalifanyika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.Ujumbe kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

Kituo cha Kuendeleza Misitu Kujengwa Tanzania katika Nyanda za Juu Kusini

Warsha ya wataalam wa misitu imeazimia kuwa kitajengwa Kituo cha Kuendeleza Misitu katika Nyanda za Juu Kusini ili kutoa mafunzo ya ngazi ya VETA kuhusu uendelezaji wa mashamba na viwanda vya  misitu. Kituo hicho kitatoa mafunzo ya darasani pamoja na nje ya darasa kwenye misitu na viwanda. 
Azimio hilo linasisitiza zaidi kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Programu ya Panda Miti Kibiashara, itahakikisha kuuundwa kwa Ushirikiano kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) kwa manufaa ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania na fursa chekwa katika teknolojia ya habari

Mwaka 2012 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipotembelea Atamizi ya Teknohama ya Dar es Salaam (DTBi), iliyo chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), aliainisha changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya sayansi na teknolojia pamoja na wagunduzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani