Tufanye yafuatayo ili kuvuna matunda ya uchumi wa kidijitali
![](https://1.bp.blogspot.com/-LN40K3U6fb0/Xl9-WAiOEZI/AAAAAAALg3s/bt5P9hbT0b4TTiQMr8b-0dWcb16RIr8ogCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B10.33.07.jpeg)
Inafahamika wazi namna gani teknolojia imesaidia nchi nyingi kuendelea kiuchumi. Hii inadhihirika wazi pia kwa nchi za Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara ambapo matumizi ya simu za mkononi na mtandao wa intaneti vimesaidia kukuza fursa nyingi za biashara na mamilioni ya watu. Sasa teknolojia ndiyo inaendesha biashara, kuanzia kuagiza malighafi hadi kupokea malipo toka kwa wateja.
Katika eneo la kilimo nako teknolojia inabadilisha mambo kuwa bora zaidi. Wakulima katika nchi za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6RQhD4bnHKs/Xtn1C72X9qI/AAAAAAALsq8/TVLQcoRDBzI5M1h01TT7w5hrLD4yRw5hwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B10.34.58%2BPM.jpeg)
Tufanye mambo gani ili tuweze kunufaika na maendeleo ya kiteknolojia?
![](https://1.bp.blogspot.com/-6RQhD4bnHKs/Xtn1C72X9qI/AAAAAAALsq8/TVLQcoRDBzI5M1h01TT7w5hrLD4yRw5hwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B10.34.58%2BPM.jpeg)
Hakuna shaka yoyote kwamba teknolojia imebadili namna na kasi ya mawasiliano yetu ambayo yamepitia hatua mbalimbali kuanzia barua posta, simu za mezani na sasa kidijitali.
Katika miezi ya karibuni gonjwa la Corona limewavuta watu wengi zaidi kutumia mbinu za kidijitali si tu kuwasiliana bali hata kwenye kufanya malipo na kupata burudani.
Tukitazama mbele yapo mambo...
10 years ago
Bongo526 Feb
Mastaa wenzangu wengi wananifata tufanye skendo ili biashara iwe nzuri — Rich Mavoko
9 years ago
StarTV17 Dec
Uuzwaji matunda, vyakula maeneo ya wazi ni marurufu nchini ili Kudhibiti Kipindupindu
Serikali imepiga marufuku wafanyabiashara wanaouza matunda yaliyokatwa na chakula katika maeneo ya wazi nchi nzima ili kuzuia mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ulioenea katika mikoa takribani 21 Tanzania Bara.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ametoa tamko hilo la serikali na kusema ili kuumaliza ugonjwa huo ni lazima maambukizi mapya yadhibitiwe na atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua za kisheria.
Tamko hilo limetolewa wakati watu elfu 11,257...
9 years ago
StarTV29 Dec
Watanzania wahimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi
Watanzania wamehimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi hususani kupitia viwanda ambavyo vitazalisha bidhaa bora zitakazouzwa nje ya nchi na kujipatia fedha za kigeni.
Hivi sasa Tanzania inatajwa kuingiza bidhaa nyingi kutoka nchi za nje hali inayosababisha kudorora kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani.
Kwa kiasi kikubwa Tanzania inauza bidhaa ghafi nje ya nchi ambazo thamani yake inakuwa chini wakati uingizwaji wa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Mikakati inayopaswa kuzingatiwa na Serikali ijayo ili kujenga uchumi bora
9 years ago
StarTV24 Dec
Serikali yaombwa kuwaingiza wafugaji kwenye bajeti ili kuinua uchumi wa taifa
Chama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa kimeitaka Serikali kuwatambua kuwa nao ni miongoni mwa Sekta muhimu inayoweza kuinua uchumi wa nchi na wananchi wake kwa kulipa mapato na kutaka kuingizwa katika bajeti ya walipa kodi.
Wafugaji wamesema Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo ya asili lakini wengi wao wanaishi katika hali duni na hata serikali imeshindwa kupata kikamilifu matunda ya kuwepo kwa rasilimali hiyo.
Hayo wameyasema katika Mkutano wao na Waziri wa Kilimo,Mifugo...
10 years ago
Michuzi03 Jun
TBS NA TFDA WATAKIWA KUDHIBITI BIDHAA ZISIZO NA UBORA ILI KULINDA UCHUMI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2269734/lowRes/721356/-/nkmp03/-/FEKI.jpg)
Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS), wameshauriwa kuwadhibiti zaidi wafanyabiashara wasio waaminini ambao wanaingia nchini bidhaa sizizo na ubora kwani wanaporomosha uchumi.
Meneja masoko wa kampuni ya Wrigleys (EA) Company Ltd, Emanuel Laswai, alitoa kauli hiyo juzi, katika uzinduzi wa bidhaa mpya za kampuni hiyo ya Doublemint nchini Tanzania.
Laswai alisema, uingizwaji wa bidhaa feki na zisizo na ubora zina athari za...