Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mastaa wenzangu wengi wananifata tufanye skendo ili biashara iwe nzuri — Rich Mavoko

Rich Mavoko ni miongoni mwa wasanii ambao wamekwepa kuwa mitaji ya magazeti ya udaku kutokana na kujiweka mbali na skendo. Staa huyo wa ‘Pacha Wangu’ amekiri kuwa amekuwa akifatwa na wasanii wenzake maarufu waliomtaka kufanya naye skendo. Mavoko ameelezea sababu za kukataa kutengeneza skendo ili kukuza biashara yake ya muziki. “Mi nafikiri hatuwezi tukawa sawa, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tukitaka Katiba Mpya nzuri, tufanye mambo kwa muwala

Zimesalia siku 69 tu Watanzania kupiga Kura ya Maoni ya kukubali au kukataa Katiba Inayopendekezwa. Sheria ya kura ya Maoni ya 2013 imeelekeza hatua kadhaa za kufuata kabla Kura ya Maoni kupigwa.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

9 years ago

Bongo5

Music: Rich Mavoko – Naimani

Rich-Mavoko-Naimani

Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Rich Mavoko — Tururu

Hii ndo ngoma Mpya kutoka kwa Rich Mavoko ngoma inaitwa “Tururu” imefanyika katika Studio za Sharo Baro Records Producer Bab Junior

 

10 years ago

Africanjam.Com

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko: Ring-tone ni unyonyaji

NYOTA anayefanya vema katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Richard Mavoko ‘Rich Mavoko’, amesema haoni umuhimu wa kuweka nyimbo zake kwenye mfumo wa ‘ring-tone’ wa mitandao ya simu....

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani