Tufanye mambo gani ili tuweze kunufaika na maendeleo ya kiteknolojia?

NCHINI Tanzania, kama ilivyo katika maeneo mengine duniani teknolojia imeleta maendeleo na mabadiliko makubwa kwenye jamii.
Hakuna shaka yoyote kwamba teknolojia imebadili namna na kasi ya mawasiliano yetu ambayo yamepitia hatua mbalimbali kuanzia barua posta, simu za mezani na sasa kidijitali.
Katika miezi ya karibuni gonjwa la Corona limewavuta watu wengi zaidi kutumia mbinu za kidijitali si tu kuwasiliana bali hata kwenye kufanya malipo na kupata burudani.
Tukitazama mbele yapo mambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
Dk. Bujugo: “Vijana unganeni tuweze kuwasaidia katika shughuli za maendeleo”
Mgombea Udiwani Kata ya Magomeni, Dk. Julian Bujugo (wa tatu kutoka kushoto) akisikiliza mmoja wa wajumbe wa CCM, aliyekuwa akihutubia jukwaani wakati wa mkutano huo wa kampeni uliofanyika jana jioni Agosti 30.2015. Mtaa wa ChemChem Magomeni Mapipa. Anayemfuatia ni mmgeni rasmi katika mkutano huo, Alhaj Salum Londa. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kisiasa kuwania nafasi ngazi ya Udiwani kwa Kata ya Magomeni jana...
5 years ago
Michuzi
Tufanye yafuatayo ili kuvuna matunda ya uchumi wa kidijitali

Katika eneo la kilimo nako teknolojia inabadilisha mambo kuwa bora zaidi. Wakulima katika nchi za...
10 years ago
Bongo526 Feb
Mastaa wenzangu wengi wananifata tufanye skendo ili biashara iwe nzuri — Rich Mavoko
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Tukitaka Katiba Mpya nzuri, tufanye mambo kwa muwala
10 years ago
Bongo Movies16 Jul
Nitumie Njia Gani Ili Nipungue-Natasha
Staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ ameeleza jitihada zake za kujaribu kupunguza unene kwa takribani miezi sita lakini hajapungua, kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram aliandika haya;
Jamani naomba msaada wa kupunguza unene nimeacha kila chakula vya mafuta yapata miezi 6, nimepunguza kunywa soda labda kwa mwezi mara mbili tena ikibidi.mimi ni mpenzi wa chocolate lakini nimepunguza sana ulaji wa vitu vya sukari na kuunywa maji mengi. Lakini mwili unazidi kuongezeka sasa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Elimu ipewe kipaumbele Ili kuwawezesha wananchi wa kusini kunufaika na rasilimali ya gesi — Norway
.jpg)
.jpg)
BOFYA HAPA...
10 years ago
GPL
DIMPOZ, KADINDA NDO’ MAMBO GANI HAYA SASA?
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Maendeleo ya wanawake majuu na ushindi wa Wajerumani ni somo gani kwetu Afrika?