Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tufanye mambo gani ili tuweze kunufaika na maendeleo ya kiteknolojia?

NCHINI Tanzania, kama ilivyo katika maeneo mengine duniani teknolojia imeleta maendeleo na mabadiliko makubwa kwenye jamii. 
Hakuna shaka yoyote kwamba teknolojia imebadili namna na kasi ya mawasiliano yetu ambayo yamepitia hatua mbalimbali kuanzia barua posta, simu za mezani na sasa kidijitali. 
Katika miezi ya karibuni gonjwa la Corona limewavuta watu wengi zaidi kutumia mbinu za kidijitali si tu kuwasiliana bali hata kwenye kufanya malipo na kupata burudani.
Tukitazama mbele yapo mambo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Concilia Niyibitanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo jijini Dar es Salaam.Kuliani Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bw. Frank Mvungi. Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui akionyesha Kitabu cha Sera ya Maendeleo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Bujugo: “Vijana unganeni tuweze kuwasaidia katika shughuli za maendeleo”

a

Mgombea Udiwani Kata ya Magomeni, Dk. Julian Bujugo (wa tatu kutoka kushoto) akisikiliza mmoja wa wajumbe wa CCM, aliyekuwa akihutubia jukwaani wakati wa mkutano huo wa kampeni uliofanyika jana jioni Agosti 30.2015. Mtaa wa ChemChem Magomeni Mapipa. Anayemfuatia ni mmgeni rasmi katika mkutano huo, Alhaj Salum Londa. (Picha zote  na Andrew Chale wa modewjiblog.com).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kisiasa kuwania nafasi ngazi ya Udiwani kwa Kata ya Magomeni  jana...

 

5 years ago

Michuzi

Tufanye yafuatayo ili kuvuna matunda ya uchumi wa kidijitali

Inafahamika wazi namna gani teknolojia imesaidia nchi nyingi kuendelea kiuchumi. Hii inadhihirika wazi pia kwa nchi za Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara ambapo matumizi ya simu za mkononi na mtandao wa intaneti vimesaidia kukuza fursa nyingi za biashara na mamilioni ya watu. Sasa teknolojia ndiyo inaendesha biashara, kuanzia kuagiza malighafi hadi kupokea malipo toka kwa wateja.
Katika eneo la kilimo nako teknolojia inabadilisha mambo kuwa bora zaidi. Wakulima katika nchi za...

 

10 years ago

Bongo5

Mastaa wenzangu wengi wananifata tufanye skendo ili biashara iwe nzuri — Rich Mavoko

Rich Mavoko ni miongoni mwa wasanii ambao wamekwepa kuwa mitaji ya magazeti ya udaku kutokana na kujiweka mbali na skendo. Staa huyo wa ‘Pacha Wangu’ amekiri kuwa amekuwa akifatwa na wasanii wenzake maarufu waliomtaka kufanya naye skendo. Mavoko ameelezea sababu za kukataa kutengeneza skendo ili kukuza biashara yake ya muziki. “Mi nafikiri hatuwezi tukawa sawa, […]

 

10 years ago

Mwananchi

Tukitaka Katiba Mpya nzuri, tufanye mambo kwa muwala

Zimesalia siku 69 tu Watanzania kupiga Kura ya Maoni ya kukubali au kukataa Katiba Inayopendekezwa. Sheria ya kura ya Maoni ya 2013 imeelekeza hatua kadhaa za kufuata kabla Kura ya Maoni kupigwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Nitumie Njia Gani Ili Nipungue-Natasha

Staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ ameeleza jitihada zake za kujaribu kupunguza unene kwa takribani miezi sita lakini hajapungua, kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram aliandika haya;

Jamani naomba msaada wa kupunguza unene nimeacha kila chakula vya mafuta yapata miezi 6, nimepunguza kunywa soda labda kwa mwezi mara mbili tena ikibidi.mimi ni mpenzi wa chocolate lakini nimepunguza sana ulaji wa vitu vya sukari na kuunywa maji mengi. Lakini mwili unazidi kuongezeka sasa...

 

11 years ago

Michuzi

Elimu ipewe kipaumbele Ili kuwawezesha wananchi wa kusini kunufaika na rasilimali ya gesi — Norway

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bw. Nasoro Hamid akizungumza na ujumbe toka Norway ulipofika ofisini kwake kwa lengo la kubadilishana uzoefu juu ya namna nchi hiyo ilivyoweza kunufaika kwa kuwekeza katika sekta ya gesi mnamo miaka ya 1970. Anayesaini kitabu ni Bw. Alaf Jakobson Meya wa mji wa Hammerfest nchini Norway. Meya wa mji wa Alstahaug Bw. Bard Anders akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisini kwa Meya wa mji wa Lindi Bw. Frank Magali mwenye miwani.
BOFYA HAPA...

 

10 years ago

GPL

DIMPOZ, KADINDA NDO’ MAMBO GANI HAYA SASA?

OMARY Faraji Nyembo, anayefahamika zaidi kimuziki kama Ommy Dimpoz ni msanii mwenye jina kubwa katika fani, ingawa ni miongoni mwa vijana waliochipukia na kupata umaarufu katika miaka ya hivi karibuni. Amefanya kazi nyingi nzuri na zilizopata kupigwa sana katika vituo vingi vya redio na televisheni, baadhi yake vikiwa ni pamoja na Baadae, Me and You, Ndagushima na Wanjera, kitu kinachomfanya kuwa miongoni mwa wasanii wanaofanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya wanawake majuu na ushindi wa Wajerumani ni somo gani kwetu Afrika?

Mstuko usingizini, jijini London. Siyo makombora yanayomwagwa Gaza na Wayahudi kuua watoto na wanawake wa Kipalestina. Hapana. Hizi ni radi za Mwenyezi Mungu. Miti na madirisha yanatingisika na kutetereka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani