Nitumie Njia Gani Ili Nipungue-Natasha
Staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ ameeleza jitihada zake za kujaribu kupunguza unene kwa takribani miezi sita lakini hajapungua, kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram aliandika haya;
Jamani naomba msaada wa kupunguza unene nimeacha kila chakula vya mafuta yapata miezi 6, nimepunguza kunywa soda labda kwa mwezi mara mbili tena ikibidi.mimi ni mpenzi wa chocolate lakini nimepunguza sana ulaji wa vitu vya sukari na kuunywa maji mengi. Lakini mwili unazidi kuongezeka sasa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s72-c/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY
![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s1600/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6RQhD4bnHKs/Xtn1C72X9qI/AAAAAAALsq8/TVLQcoRDBzI5M1h01TT7w5hrLD4yRw5hwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B10.34.58%2BPM.jpeg)
Tufanye mambo gani ili tuweze kunufaika na maendeleo ya kiteknolojia?
![](https://1.bp.blogspot.com/-6RQhD4bnHKs/Xtn1C72X9qI/AAAAAAALsq8/TVLQcoRDBzI5M1h01TT7w5hrLD4yRw5hwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B10.34.58%2BPM.jpeg)
Hakuna shaka yoyote kwamba teknolojia imebadili namna na kasi ya mawasiliano yetu ambayo yamepitia hatua mbalimbali kuanzia barua posta, simu za mezani na sasa kidijitali.
Katika miezi ya karibuni gonjwa la Corona limewavuta watu wengi zaidi kutumia mbinu za kidijitali si tu kuwasiliana bali hata kwenye kufanya malipo na kupata burudani.
Tukitazama mbele yapo mambo...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Njia rahisi ya kutumia taka za mazao ili kuzalisha uyoga
10 years ago
Bongo505 Dec
Je umeweza kuchunguza njia ya kufanya na kwenda ili uwe Mjasiriamali?
11 years ago
Michuzi11 Mar
elimu kwa umma juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi ili kulinda tabaka la Ozoni.
![](https://4.bp.blogspot.com/-WD21MQSvl8A/Ux8LVpmP0-I/AAAAAAACrOg/jTWoybng280/s1600/DSC0100.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-m-lcn_oUUeI/Ux8KQqRmUFI/AAAAAAACrOI/uUcYZ9e6Aks/s1600/DSC0076.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-XQ3d6P71Jyg/Ux8Kdxl1hSI/AAAAAAACrOQ/PrsAI3EeFD8/s1600/DSC0119.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA KUVIFIKIA VIJIJI VISIVYOFIKIKA ILI KUVIPATIA ELIMU JUU YA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
Serikali imeombwa kuhakikisha kwamba inatafutanjia mbadala ,kwaajili ya kuwafikia wananchi waliopo maeneo ambayo hayafikikikiurahisi, kwaajili ya kuwapatia elimu ya kuepukana maambukizi ya homa kali yamapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19
Hayo yamesemwa na Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC),lililopo Kibaha mkoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hhCh5AnBuF8/VSfnbvE2LEI/AAAAAAAAaZg/1G7H6km5AZc/s72-c/1.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI KUFUATIA UPOTOSHWAJI UNAOENEZWA KWA NJIA YA MTANDAO ILI KUWATIA WATU HOFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-hhCh5AnBuF8/VSfnbvE2LEI/AAAAAAAAaZg/1G7H6km5AZc/s1600/1.jpg)
Katika siku za hivi karibuni kumeibuka tabia ya baadhi ya watu wachache wasiofahamika kutunga na kusambaza ujumbe kupitia simu za mikononi na mitandao mbalimbali ya kijamii wenye lengo la kuwatia hofu wananchi, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Aidha, watu hao wanaosambaza taarifa hizo wanajifanya kwamba taarifa hizo zimetoka kwenye taasisi za kimataifa na taasisi zingine zinazoaminika jambo ambalo siyo kweli.
Jeshi la Polisi nchini linawataka wote wenye tabia hiyo kuacha mara moja na...
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...