Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je umeweza kuchunguza njia ya kufanya na kwenda ili uwe Mjasiriamali?

Una wazo zuri au kubwa la biashara, lakini huo ni mwanzo tu. Kuna habari za mtaani nyingi sana ukiona hivyo inawezekana ukafikiri kuwa utakuwa mtu uliyefanikiwa muda si mrefu sana. Hebu fikiria kwenye mpango wako na ujaribu kuangalia soko na maisha yako binafsi. Utahitajika kujua je mteja wako ni nani na uweze kuweka hiyo biashara […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Unachotakiwa kufanya ili uwe na ndoa yenye amani-2

Kama unaingia kwenye ndoa kwa sababu ya kumkera fulani, fahamu kwamba hilo ni kosa na linasababisha wakati fulani watu kujuta kwanini amekutana na fulani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa

Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona

Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa (Mb) leo tarehe 30 Machi, 2020 amepokea kifaa maalumu cha kunawia mikono kilichotengenezwa na mjasiriamali wa kitanzania ndugu. Jonas Urio (Ambaye anatokea katika mkoa wa Manyara).
 Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nitumie Njia Gani Ili Nipungue-Natasha

Staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ ameeleza jitihada zake za kujaribu kupunguza unene kwa takribani miezi sita lakini hajapungua, kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram aliandika haya;

Jamani naomba msaada wa kupunguza unene nimeacha kila chakula vya mafuta yapata miezi 6, nimepunguza kunywa soda labda kwa mwezi mara mbili tena ikibidi.mimi ni mpenzi wa chocolate lakini nimepunguza sana ulaji wa vitu vya sukari na kuunywa maji mengi. Lakini mwili unazidi kuongezeka sasa...

 

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?

Katika moja ya makala zangu za nyuma niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabovu ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.

 

10 years ago

GPL

IMENIBIDI NIWE OMBAOMBA ILI NIPATE NAULI YA KWENDA INDIA

Shani Ramadhani “Naombeni mnisaidie Watanzania wenzangu nateseka mwaka wa nane huu na sina msaada wowote, nimevumilia lakini naona nazidi kuumia bila kupata tiba yoyote, ni bora ningerudi kwetu kama kufa nikafie huko.” Hivi ndivyo alivyoanza kusimulia mama aliyejulikana kwa jina la Paulina Omary, (58), mkazi wa Ukerewe mkoani Mwanza ambaye sasa hivi yuko jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu alipokuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Njia rahisi ya kutumia taka za mazao ili kuzalisha uyoga

Watanzania wanaweza kujiongezea kipato kwa kujiingiza katika kilimo cha uyoga, ambacho hakihitaji teknolojia ya juu ili kukifanikisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unayotakiwa kufanya ili kupata ujauzito haraka — 2

WIKI iliyopita tuliangalia baadhi ya mambo unayotakiwa kuyafanya ili uweze kupata ujauzito kwa haraka. Leo tuendelee kuangalia jambo moja mahususi, nalo ni siku nzuri hasa ya kufanya mapenzi ili upate...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ningekuwa mimi mgombea, ningewalipia wote nauli na posho ili waweze kwenda kupiga kura

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani