Je umeweza kuchunguza njia ya kufanya na kwenda ili uwe Mjasiriamali?
Una wazo zuri au kubwa la biashara, lakini huo ni mwanzo tu. Kuna habari za mtaani nyingi sana ukiona hivyo inawezekana ukafikiri kuwa utakuwa mtu uliyefanikiwa muda si mrefu sana. Hebu fikiria kwenye mpango wako na ujaribu kuangalia soko na maisha yako binafsi. Utahitajika kujua je mteja wako ni nani na uweze kuweka hiyo biashara […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Unachotakiwa kufanya ili uwe na ndoa yenye amani-2
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa
Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
10 years ago
Bongo Movies16 Jul
Nitumie Njia Gani Ili Nipungue-Natasha
Staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ ameeleza jitihada zake za kujaribu kupunguza unene kwa takribani miezi sita lakini hajapungua, kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram aliandika haya;
Jamani naomba msaada wa kupunguza unene nimeacha kila chakula vya mafuta yapata miezi 6, nimepunguza kunywa soda labda kwa mwezi mara mbili tena ikibidi.mimi ni mpenzi wa chocolate lakini nimepunguza sana ulaji wa vitu vya sukari na kuunywa maji mengi. Lakini mwili unazidi kuongezeka sasa...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yi0TCIBaEFUM7kL6wm9778o9fN-GOqFaGbfAGptbvq9NkiI3oHi2C1Bb1PybIl5mINz-45QjwIYCSeZXfFx7Jfr7KV2I4qK9/Bibi.gif?width=650)
IMENIBIDI NIWE OMBAOMBA ILI NIPATE NAULI YA KWENDA INDIA
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Njia rahisi ya kutumia taka za mazao ili kuzalisha uyoga
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Unayotakiwa kufanya ili kupata ujauzito haraka — 2
WIKI iliyopita tuliangalia baadhi ya mambo unayotakiwa kuyafanya ili uweze kupata ujauzito kwa haraka. Leo tuendelee kuangalia jambo moja mahususi, nalo ni siku nzuri hasa ya kufanya mapenzi ili upate...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ningekuwa mimi mgombea, ningewalipia wote nauli na posho ili waweze kwenda kupiga kura
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.