Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ningekuwa mimi mgombea, ningewalipia wote nauli na posho ili waweze kwenda kupiga kura

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI MUHONGO, NISINGEKUBALI KUWEKWA KIPORO MUDA WOTE HUO

Profesa Sospeter Muhongo. Kwako mheshimiwa, Profesa Sospeter Muhongo.
Nilizungumza nawe kupitia ukurasa huuhuu mara ya kwanza, nikakueleza ujumbe wangu ambao najua hukuupokea vizuri japo lengo langu lilikuwa ni kukusaidia uepukane na hii kadhia inayoendelea kukukuta sasa. Kwa mara nyingine nataka kuzungumza nawe kwani naamini wewe si sikio la kufa. Najua unapitia kipindi kigumu sana tangu kuibuka kwa sakata la mabilioni ya...

 

10 years ago

GPL

IMENIBIDI NIWE OMBAOMBA ILI NIPATE NAULI YA KWENDA INDIA

Shani Ramadhani “Naombeni mnisaidie Watanzania wenzangu nateseka mwaka wa nane huu na sina msaada wowote, nimevumilia lakini naona nazidi kuumia bila kupata tiba yoyote, ni bora ningerudi kwetu kama kufa nikafie huko.” Hivi ndivyo alivyoanza kusimulia mama aliyejulikana kwa jina la Paulina Omary, (58), mkazi wa Ukerewe mkoani Mwanza ambaye sasa hivi yuko jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu alipokuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- tamisemi), Hawa Abdulrahman Ghasia. Kwako Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- tamisemi), Hawa Abdulrahman Ghasia. Ni matumaini yangu kwamba bado upo kwenye wakati mgumu kutokana na madudu yaliyotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha sehemu nyingine uchaguzi uahirishwe kutokana na dosari za...

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kushoto) akitoa risala siku moja kabla ya ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Hamid Mahmuod na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Amon Chaligha. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kulia)...

 

10 years ago

Mtanzania

Mgombea urais ashindwa kupiga kura

lyimoNA UPENDO MOSHA, MOSHI

MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Macmilan Lyimo, jana alishindwa kupiga kura baada ya kufika katika kituo cha kupigia kura kilichopo Kata ya Njia Panda, Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, akiwa hana kitambulisho chake cha kupigia kura.

Mgombea huyo ambaye ni miongoni mwa wagombea wanane wanaowania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana, alifika katika Kituo cha Ghalani, saa tatu asubuhi kwa lengo la kupiga kura, lakini...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea urais TLP azuiwa kupiga kura

Mgombea Urais  kwa tiketi ya TLP, Macmillan Lyimo, ameshindwa   kupiga kura baada ya kwenda katika kituo cha kupiga kura akiwa hana kitambulisho.

 

10 years ago

GPL

MGOMBEA URAIS TLP ASHINDWA KUPIGA KURA

Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Maximillian Lyimo. Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Maximillian Lyimo ameshindwa kupiga kura leo katika Kituo cha Njia Panda Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro baada ya kukosekana taarifa zake kituoni hapo. Lyimo aliyejiandikishia mkoani Dar es Salaam, jana alienda kufunga kampeni zake Jimbo la Vunjo na kulala huko, asubuhi ya leo alienda kituo cha...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO WATAKA.

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii.VIJANA waliotimiza miaka 18 kwa mwaka huu waaswa kupiga kura ili kumchagua kiongozi wanaemtaka na watambue mchango wao katika jamii kwa kupiga kura  kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Nae Mwenyekiti wa  asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People  with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael  Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi  kutoa vipaumbele kwa  walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani