DIMPOZ, KADINDA NDO’ MAMBO GANI HAYA SASA?
![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNMJic4tAq0eU5KQFEHFtN2zdACtAHsgPUNxIAN9GqaL6ksCgUMMAW1*x22y0NvNPql*NohMWntP0v9xsFKNAVDc/MAMAWEMA.jpg)
OMARY Faraji Nyembo, anayefahamika zaidi kimuziki kama Ommy Dimpoz ni msanii mwenye jina kubwa katika fani, ingawa ni miongoni mwa vijana waliochipukia na kupata umaarufu katika miaka ya hivi karibuni. Amefanya kazi nyingi nzuri na zilizopata kupigwa sana katika vituo vingi vya redio na televisheni, baadhi yake vikiwa ni pamoja na Baadae, Me and You, Ndagushima na Wanjera, kitu kinachomfanya kuwa miongoni mwa wasanii wanaofanya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOn7KcHduE/VLWKMV5I4PI/AAAAAAADVeg/EfQKj3gW2xg/s72-c/Katuni%2BJan%2B11.jpg)
10 years ago
VijimamboMartin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika
![](http://3.bp.blogspot.com/-EWNLHhimkv4/VBwCYETog0I/AAAAAAAAhZg/oJRjJt-AWwg/s1600/manajee.jpg)
9 years ago
Bongo504 Jan
Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa
![Kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Kadinda-300x194.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.
Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.
“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9kzZaCTVIQ/VC3vDZIc9NI/AAAAAAAAp0Q/eT_FHzcEFuQ/s72-c/10666280_304619959745459_704373199_n.jpg)
HII NDIO HISTORIA YA DIAMOND TOKA KAZALIWA MPAKA LEO KAFIKISHA MIAKA 26, HAYA NDO ALIYOPITIA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9kzZaCTVIQ/VC3vDZIc9NI/AAAAAAAAp0Q/eT_FHzcEFuQ/s1600/10666280_304619959745459_704373199_n.jpg)
![diamond platnumz bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/diamond-platnumz-bongoclan.co_.tz_.jpg)
Ukitaka kujua kuwa ku-shine hapa Bongo ni juhudi zako tu mwenyewe za kupiga kazi usiku na mchana,bila kulala na mwisho wa siku kufikia malengo yako basi mfano wa kuigwa ni huyu Birthday boy Diamond Platnumz.Diamond alizaliwa tarehe 2, October mwaka 1989 katika Hospitali ya Amana Dar es salaam mnamo wa saa kumi na moja na kupewa jina la Nasibu Abdul Juma . Akiwa na umri mdogo wazazi wake walitengana na baba yake kumuacha bila msaada wowote na...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s1600/MMGM0139.jpg)
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPe*sjJcD37vWMe2zjrAo8eNqUpayJ2BXmlJ-OaM6CEFY9z0DN2CYLbCTPHgK6inUcrEFJ3CTqJm5GbirfsG9cP/WEWE8.jpg)
RAY: CHUCHU SASA NDO’ KILA KITU KWANGU
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-8HDUM2GN2d4/VDecbEf5MLI/AAAAAAAABNI/vbImEVFAwok/s72-c/4076.jpg)