Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
KATIKA miaka ya karibuni ukuaji wa teknolojia ya kidijitali umezipa nchi nyingi faida mbalimbali za kibunifu ambazo zinazochochea maendeleo ya watu na ukuaji wa uchumi.
Moja ya teknolojia hizo bunifu ni huduma za afya kidijitali (m-health). Katika nchi nyingi huduma hii imekuwa muhimu ikisaidia watu kupata taarifa za afya na hospitali kutunza kumbukumbu kwa ufanisi zaidi.
Tanzania, huduma hizi za afya kwa njia ya simu zimesaidia watu wengi wazima na wagonjwa kupata taarifa za afya, njia za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Teknolojia ya umemejua inavyoleta nuru kwa maskini
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Z’bar sasa ijielekeze katika Mapinduzi ya kiuchumi
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini
10 years ago
Mwananchi13 Aug
MARAIS WASTAAFU : Afrika ikiungana itaharakisha mapinduzi kiuchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Vodacom Tanzania yawezesha wanafunzi kuendelea na masomo kupitia jukwaa la kidijitali bure.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s1600/download.png)
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini kunufaika na utoaji wa elimu bure kupitia jukwaa la kidijitali.Shule za msingi na sekondari kunufaika na upatikanaji bure wa maudhui ya elimu kupitia jukwaa la ‘Vodacom Instant Schools portal’.Kampuni inayoongoza kidijitali nchini ya Vodacom Tanzania PLC inafanya kazi na shule pamoja na taasisi mbalimbali za elimu nchini kutoa huduma ya mafunzo ya dijitali bila gharama yoyote. Taasisi zilizonufaika na huduma hii ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-03lu8XbYLjg/XrO9wnOCIkI/AAAAAAAEG7w/GIi8XFrwtUkpngDJJ51tdq-41lWcd8_kACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Benki ya NMB, Mastercard na EYWA washirikiana kuleta mfumo wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-03lu8XbYLjg/XrO9wnOCIkI/AAAAAAAEG7w/GIi8XFrwtUkpngDJJ51tdq-41lWcd8_kACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Suluhisho hili linalenga kutatua changamoto za huduma za usafirishaji nchini kwa kupunguza matumizi ya mfumo wa malipo ya fedha taslimu na kuwa katika njia ya...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/DhqZQQXz7XM/default.jpg)