Z’bar sasa ijielekeze katika Mapinduzi ya kiuchumi
Wazanzibari jana waliadhimisha kumbukumbu ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa nderemo, vifijo na shamrashamra za kila aina. Siku hiyo hakika ni ya kukumbukwa, kwani miaka 51 iliyopita wananchi wa Zanzibar waliuangusha utawala dhalimu wa Kisultani uliokuwa ukiwakandamiza na kuwadhalilisha kwa miongo mingi katika nchi yao wenyewe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
Teknolojia ya kidijitali inavyoleta mapinduzi ya kiuchumi Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-QBD-37g0OEk/XuJxcXw5GRI/AAAAAAALtfc/IlZOU9m8wxkezdV6Ih0P0m8g0O9UdqJnQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-11%2Bat%2B7.06.18%2BPM.jpeg)
Moja ya teknolojia hizo bunifu ni huduma za afya kidijitali (m-health). Katika nchi nyingi huduma hii imekuwa muhimu ikisaidia watu kupata taarifa za afya na hospitali kutunza kumbukumbu kwa ufanisi zaidi.
Tanzania, huduma hizi za afya kwa njia ya simu zimesaidia watu wengi wazima na wagonjwa kupata taarifa za afya, njia za...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
MARAIS WASTAAFU : Afrika ikiungana itaharakisha mapinduzi kiuchumi
10 years ago
GPLDAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
9 years ago
Habarileo03 Dec
Meli mpya Mv Mapinduzi II yatua Z’bar
MELI mpya ya Mv Mapinduzi (II) imewasili katika Bandari ya Zanzibar jana kwa ajili ya kuanza safari zake baada ya kukamilika kwa ujenzi wake nchini Korea Kusini.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Tumejipangaje kuyalinda daima Mapinduzi Z’bar?
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Kisumo: Baraza la Mapinduzi Z’bar limeuawa kimyakimya