Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kisumo: Baraza la Mapinduzi Z’bar limeuawa kimyakimya

Moshi. Mwanasiasa wa siku nyingi, Peter Kisumo amesema Baraza la Mapinduzi Zanzibar aliloliacha Rais wa Kwanza wa visiwa hivyo, Abeid Aman Karume limeuawa kimyakimya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Tumejipangaje kuyalinda daima Mapinduzi Z’bar?

>Wiki iliyopita, Wazanzibari waliadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar. Mapinduzi haya ni moja kati ya matukio makubwa yaliyotokea miaka hamsini iliyopita.

 

9 years ago

Habarileo

Meli mpya Mv Mapinduzi II yatua Z’bar

MELI mpya ya Mv Mapinduzi (II) imewasili katika Bandari ya Zanzibar jana kwa ajili ya kuanza safari zake baada ya kukamilika kwa ujenzi wake nchini Korea Kusini.

 

10 years ago

Mwananchi

Z’bar sasa ijielekeze katika Mapinduzi ya kiuchumi

Wazanzibari jana waliadhimisha kumbukumbu ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa nderemo, vifijo na shamrashamra za kila aina. Siku hiyo hakika ni ya kukumbukwa, kwani miaka 51 iliyopita wananchi wa Zanzibar waliuangusha utawala dhalimu wa Kisultani uliokuwa ukiwakandamiza na kuwadhalilisha kwa miongo mingi katika nchi yao wenyewe.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif kuleta mapinduzi ya kilimo Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chini ya uongozi wake atahakikisha anamjengea uwezo mkulima, kwa lengo la kumwezesha kuinuka kiuchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti

Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawakilishi Z’bar wakacha kikao, Baraza laahirishwa

Kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), kimeahirishwa kwa mara ya pili kutokana na idadi ya wajumbe kutotimia kwa mujibu wa kanuni za uendeshaji wa chombo hicho cha kutunga sheria, Zanzibar.

 

9 years ago

Mwananchi

Baraza kuu CUF lakataa kurudia uchaguzi Z'bar

Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), limekutana na kusisitiza kuwa hawatarudia uchaguzi wa Zanzibar.

 

11 years ago

Michuzi

DKt Shein awapongeza wafanyakazi wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na wafanyakazi wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi baada ya kulanao pamoja chakula katika fahla ya kuwapongeza wafanyakazi hao baada ya  kupitishwa bajeti za Wizara hizo katika kikao cha Baraza la Wawakilishi kinachoendelea ,hafla hiyo ilifanyika leo viwanja vya Ikulu,(wapili kulia)Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,akifuatiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani