Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti
Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra
Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.
10 years ago
Bongo501 Feb
Picha: Miaka 10 ya THT yaadhimishwa kwa kishindo Escape One
Tanzania House of Talent, THT, imeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Kilele cha maadhimisho hayo kililifanyika pale Escape One kwa show kali ya live. Zaidi ya wasanii wa THT, wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Mwana FA,Ali Kiba,Bushoke,Weusi,Mrisho Mpoto,Fid Q na wengine. Tazama picha zaidi hapo chini.
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Hawatutaki wenye fikra tofauti
NI kawaida yangu kila Ijumaa kutembelea saluni iliyo jirani na nyumbani kwangu pale Magomeni, Dar
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Tofauti za hoja, fikra ndizo zitaipa nchi Katiba Bora- Ngeze
>Madai ya kutaka Serikali ya Tanganyika siyo habari mpya kwa Watanzania. Hoja hiyo iliwahi kuutikisa Muungano baada ya kujitokeza kwa kundi lililoongozwa na wabunge 55 wa chama tawala, CCM kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Vodacom yamwaga vifaa kwa wabunge Miaka 50 Mapinduzi
KAMPUNI ya simu ya Vodacom Tanzania, imetoa vifaa na zawadi mbalimbali kwa timu tatu za wabunge kutoka Tanzania bara, Visiwani na Uganda kwa ajili ya michuano ya soka na netiboli...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iVmsXFJKn4I/Voja5WVSejI/AAAAAAAIQBQ/6306vo6oqKw/s72-c/3cc425c0-ee06-47ec-a347-a4fccfa90f54.jpg)
sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar zaanza rasmi kwa usafi wa mazingira
Kazi za usafi wa mazingira kwenye maeneo tofauti Nchini katika kuanza rasmi kwa maadhimisho ya sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimeonekana kuitikiwa vyema na Wananchi walio wengi pamoja na vikosi vya ulinzi hapa Nchini. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alijumuika na Wananchi hao kwa kazi za usafishaji wa Mtaro wa maji machafu unaokusanya maji kutokea mitaa ya Muembe Njugu, Kwahani, Kariakoo, Kilimani na Kumalizikia Pwani ya Kilimani. Akimuelezea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrsc*mOXX94vujBWlYBlyNuh4eNNd3G0hhmUNDUos02e4vjGEyQOmNiUbVTp7uyonO3ctM3z8qTvtp563qPrnih/12.jpg?width=650)
KAMATI KUU CCM YAWAPONGEZA WATANZANIA KWA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika Zanzibar leo. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekuwa na kikao cha siku moja leo tarehe 13/01/2014 mjini Zanzibar chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Dr. Jakaya Kikwete. Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imeipongeza sana Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla kwa...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Tumejipangaje kuyalinda daima Mapinduzi Z’bar?
>Wiki iliyopita, Wazanzibari waliadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar. Mapinduzi haya ni moja kati ya matukio makubwa yaliyotokea miaka hamsini iliyopita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania