Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti

Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Miaka 10 ya THT yaadhimishwa kwa kishindo Escape One

Tanzania House of Talent, THT, imeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Kilele cha maadhimisho hayo kililifanyika pale Escape One kwa show kali ya live. Zaidi ya wasanii wa THT, wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Mwana FA,Ali Kiba,Bushoke,Weusi,Mrisho Mpoto,Fid Q na wengine. Tazama picha zaidi hapo chini.

 

9 years ago

Raia Mwema

Hawatutaki wenye fikra tofauti

NI kawaida yangu kila Ijumaa kutembelea saluni iliyo jirani na nyumbani kwangu pale Magomeni, Dar

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Tofauti za hoja, fikra ndizo zitaipa nchi Katiba Bora- Ngeze

>Madai ya kutaka Serikali  ya Tanganyika siyo habari mpya kwa Watanzania. Hoja hiyo iliwahi kuutikisa Muungano baada ya kujitokeza kwa kundi  lililoongozwa na wabunge 55 wa chama tawala, CCM kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yamwaga vifaa kwa wabunge Miaka 50 Mapinduzi

KAMPUNI ya simu ya Vodacom Tanzania, imetoa vifaa na zawadi mbalimbali kwa timu tatu za wabunge kutoka Tanzania bara, Visiwani na Uganda kwa ajili ya michuano ya soka na netiboli...

 

9 years ago

Michuzi

sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar zaanza rasmi kwa usafi wa mazingira

Kazi za usafi wa mazingira kwenye maeneo tofauti Nchini katika kuanza rasmi kwa maadhimisho ya sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimeonekana kuitikiwa vyema na Wananchi walio wengi pamoja na vikosi vya ulinzi hapa Nchini. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alijumuika na Wananchi hao kwa kazi za usafishaji wa Mtaro wa maji machafu unaokusanya maji kutokea mitaa ya Muembe Njugu, Kwahani, Kariakoo, Kilimani na Kumalizikia Pwani ya Kilimani. Akimuelezea...

 

11 years ago

GPL

KAMATI KUU CCM YAWAPONGEZA WATANZANIA KWA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika Zanzibar leo. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekuwa na kikao cha siku moja leo tarehe 13/01/2014 mjini Zanzibar chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Dr. Jakaya Kikwete. Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imeipongeza sana Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tumejipangaje kuyalinda daima Mapinduzi Z’bar?

>Wiki iliyopita, Wazanzibari waliadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar. Mapinduzi haya ni moja kati ya matukio makubwa yaliyotokea miaka hamsini iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani