Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawatutaki wenye fikra tofauti

NI kawaida yangu kila Ijumaa kutembelea saluni iliyo jirani na nyumbani kwangu pale Magomeni, Dar

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti

Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti.

 

11 years ago

Mwananchi

Tofauti za hoja, fikra ndizo zitaipa nchi Katiba Bora- Ngeze

>Madai ya kutaka Serikali  ya Tanganyika siyo habari mpya kwa Watanzania. Hoja hiyo iliwahi kuutikisa Muungano baada ya kujitokeza kwa kundi  lililoongozwa na wabunge 55 wa chama tawala, CCM kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wagombea wenye dhamira tofauti

Jabir Idrissa JENGA picha kwa haya: Wakati mgombea urais mshindani mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maalim Seif Shariff Hamad anahutubia mkutano wa kampeni yake, Jimbo la Mpendae, ghafla gari iliyofunga maspika inapita. Inapita uwanjani Kwa […]

The post Wagombea wenye dhamira tofauti appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti kati ya wenye nacho na wasio nacho hatari kwa amani

TANZANIA imepata kusifika duniani kwa amani iliyopo miongoni mwa wananchi na ukarimu kwa wageni. Wanapokuja hapa kwa madhumuni mbalimbali binafsi, kwa kiasi kikubwa ni kivutio kikubwa kimojawapo katika masuala ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa wenye sarafu, noma, na wenye masurufu, neema

Juzi, hatimaye, waishiwa tuliweza kukusanyika sebuleni mwetu kutathmini hali iliyopo. Usituone hivi. Kutokana na hali halisi, hata uwezo wetu wa kupata bakuli ya supu umepungua hivyo inabidi watu wajipigepige kweli hadi wengine kidogo walazwe kwa majeraha ya kujipiga.

 

10 years ago

Mwananchi

Una fikra hasi?

Fikra dhaifu huzua tatizo ambalo linaweza kukupelekea kwenye unyonge pia mawazo duni na hata kujiona ya kuwa wewe ni mtu wa kuonewa, kutothaminiwa na hata kuwa mpweke wakati kwa wakati.

 

10 years ago

Mwananchi

Fikra za kishamba zinatugharimu Watanzania

Mambo mengi yanayotokea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengine nchini yananiacha hoi. Nitatoa mfano wa madereva wa magari.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, ni ulemavu wa fikra au kitu gani?

Nikitafakari kuhusu vurugu za kidini hapa Tanzania na matukio mengine kama kutumia fedha kununua kura, mjadala wa kutumia Kiswahili au kutumia lugha za kigeni, fedha zilizofichwa nje ya nchi, watoto wa vigogo kupatiwa kazi bila kuwa na sifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani