Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fikra za kishamba zinatugharimu Watanzania

Mambo mengi yanayotokea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengine nchini yananiacha hoi. Nitatoa mfano wa madereva wa magari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuacha uvivu wa fikra

Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kutawaliwa na uvivu na ufinyu wa fikra za kimaendeleo zinazowasababishia baadhi ya watu kutojihusisha na masuala ya maendeleo na kuishia katika vijiwe wakidai hakuna maendeleo nchini.

Akizungumza katika ibada maalumu ya kumshukuru Mungu kwa kumaliza uchaguzi salama Mchungaji John Masanyiwa amesema iwapo watanzania wanataka maendeleo ya kweli ni vyema wakajihamasisha katika shughuli za kimaendeleo zitakazowawezesha kupata fursa mbalimbali kwa viongozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Una fikra hasi?

Fikra dhaifu huzua tatizo ambalo linaweza kukupelekea kwenye unyonge pia mawazo duni na hata kujiona ya kuwa wewe ni mtu wa kuonewa, kutothaminiwa na hata kuwa mpweke wakati kwa wakati.

 

10 years ago

Raia Mwema

Hawatutaki wenye fikra tofauti

NI kawaida yangu kila Ijumaa kutembelea saluni iliyo jirani na nyumbani kwangu pale Magomeni, Dar

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Shibuda: Fikra za UKAWA ni chakavu



Sitta awapuuza, asema Bunge litaendeleaWasomi wawashangaa, wawaonya wananchi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MAMBO yanazidi kwenda mrama kwa viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kutokana na kuendelea kuvurumishiwa makombora kutokana na kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.

Mbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, amesema kundi hilo lina fikra chakavu na ndiyo sababu amewazidi uwezo wa kufikiri na kuamua kurejea kushiriki vikao vya bunge hilo.
Shibuda, ambaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, ni ulemavu wa fikra au kitu gani?

Nikitafakari kuhusu vurugu za kidini hapa Tanzania na matukio mengine kama kutumia fedha kununua kura, mjadala wa kutumia Kiswahili au kutumia lugha za kigeni, fedha zilizofichwa nje ya nchi, watoto wa vigogo kupatiwa kazi bila kuwa na sifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fikra ikibadilika italeta mtazamo chanya

LEO tutajadiliana namna fikra inavyobadilisha mtazamo, pamoja na kuambiwa kuwa takriban bilioni moja ya watu wanaoishi duniani ni vijana na kwamba asilimia 85 ya vijana hao wanaishi katika nchi zinazoendelea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Badili maisha kupitia fikra zako

WATAALAMU wa masuala ya saikologia wanasema zaidi ya asilimia 95 ya maisha yetu ni matokeo ya fikra zilizopo ndani yetu na asilimia 5 ni mazingira yanayotunguka na vitu vingine. Kutokana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wafunzwa fikra za Osama Pakistani

Watoto takriban 5,000 wanapewa mafunzo ya misimamo ya Osama bin Laden nchini Pakistani

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waganga waaswa kuacha fikra potofu

WAGANGA tiba asili wametakiwa kuachana na fikra potofu za kuwashawishi wateja wao kuwa wakiua au kuleta viungo vya binadamu ndio chanzo cha kupata mafanikio. Akizungumza na Tanzania Daima jijini hapa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani