Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shibuda: Fikra za UKAWA ni chakavu



Sitta awapuuza, asema Bunge litaendeleaWasomi wawashangaa, wawaonya wananchi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MAMBO yanazidi kwenda mrama kwa viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kutokana na kuendelea kuvurumishiwa makombora kutokana na kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.

Mbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, amesema kundi hilo lina fikra chakavu na ndiyo sababu amewazidi uwezo wa kufikiri na kuamua kurejea kushiriki vikao vya bunge hilo.
Shibuda, ambaye...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar ni jalala la bidhaa chakavu?

HIVI karibuni nikiwa nimepumzika katika baraza moja ya kahawa iliopo Malindi, hatua chache kutoka lango kuu la Bandari ya Zanzibar, ulipita msururu wa magari yaliojaa bidhaa chakavu. Magari hayo, makubwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mabehewa chakavu yang’oa vigogo TRL

Samwel SittaSERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.

 

11 years ago

Mwananchi

Biashara ya kununua noti chakavu yaimarika

Siku hizi ukipita mitaani katika mikoa mbalimbali si jambo la ajabu kusikia na kusoma matangazo yanayoelekeza mahali fedha chakavu zinaponunuliwa.

 

10 years ago

GPL

CHUPA CHAKAVU ZAONGEZA AJIRA BINAFSI

Jamaa anayeokota chupa chakavu akikatiza eneo la Mapambano- Sinza. Mwingine akiwa eneo la Bamaga…

 

10 years ago

Habarileo

Mabasi chakavu yapelekwa Lindi, Mtwara

OPERESHENI maalumu iliyofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imebaini mabasi yanayokwenda katika mikoa ya kusini mengi yamechakaa na hakuna basi la daraja la kwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Sh5 bilioni za Tanesco ‘zamezwa’ na vipuri chakavu

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limetumia zaidi ya Sh5 bilioni kukarabati mitambo chakavu ambayo imekuwa chanzo cha kukatika kwa umeme mara kwa mara na kusababisha kusuasua kwa shughuli za maendeleo.

 

5 years ago

Michuzi

NI WAJIBU WA MFANYABIASHARA WA VYUMA CHAKAVU KUFUATA SHERIA-SIMA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akizungumza na wafanyabiashara wa vyuma chakavu kutoka badhi ya mikoa (hawapo pichani) jijini Tanga. Wengine pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. Thobias Mwilapwa.

…………………………………………………………………………..

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amesema ni wajibu wa kila mfanyabiashara wa vyuma chakavu kufuata sheria ili kulinda miundombinu na kuepuka...

 

11 years ago

Habarileo

TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali

UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.

 

11 years ago

Michuzi

Yale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....

 "Ohoooooo.... Gari langu maskini...." Dereva wa teksi anatoka nje kuangalia jinsi gari lake lilivyoingia kwenye chemba ya maji machafu ambayo mfuniko wame umeeshaenda kusikojulikana na kuacha shimo kubwa katikati ya barabara ya Mtaa wa Zanaki jijini Dar es salaam leo  Wasamaria wema wanasogea kuja kumuokoa  "Hayaaaa....twendeeeeee" Gari linatoka  Anapiga rivasi taratibu huku mshimo ukiwa umeachama   Anaondoka taratibu huku akisikitika na kujiuliza nini kifanyike kuondoa adha hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani