Shibuda: Fikra za UKAWA ni chakavu
![](http://1.bp.blogspot.com/-dJFjHU9Uxmg/U-x3L830VUI/AAAAAAAABe4/csvsgIc9Kcs/s72-c/Unknown-1.jpeg)
Sitta awapuuza, asema Bunge litaendeleaWasomi wawashangaa, wawaonya wananchi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MAMBO yanazidi kwenda mrama kwa viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kutokana na kuendelea kuvurumishiwa makombora kutokana na kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
Mbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, amesema kundi hilo lina fikra chakavu na ndiyo sababu amewazidi uwezo wa kufikiri na kuamua kurejea kushiriki vikao vya bunge hilo.
Shibuda, ambaye...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Zanzibar ni jalala la bidhaa chakavu?
HIVI karibuni nikiwa nimepumzika katika baraza moja ya kahawa iliopo Malindi, hatua chache kutoka lango kuu la Bandari ya Zanzibar, ulipita msururu wa magari yaliojaa bidhaa chakavu. Magari hayo, makubwa...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mabehewa chakavu yang’oa vigogo TRL
SERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.
11 years ago
Mwananchi15 May
Biashara ya kununua noti chakavu yaimarika
10 years ago
GPLCHUPA CHAKAVU ZAONGEZA AJIRA BINAFSI
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mabasi chakavu yapelekwa Lindi, Mtwara
OPERESHENI maalumu iliyofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imebaini mabasi yanayokwenda katika mikoa ya kusini mengi yamechakaa na hakuna basi la daraja la kwanza.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Sh5 bilioni za Tanesco ‘zamezwa’ na vipuri chakavu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B9nh5CAanAs/XsEuYOFem9I/AAAAAAALqjg/a0ZcIoRhnvQ5UHtyKUu9fIuh6-ahReE3gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-2-1.jpg)
NI WAJIBU WA MFANYABIASHARA WA VYUMA CHAKAVU KUFUATA SHERIA-SIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B9nh5CAanAs/XsEuYOFem9I/AAAAAAALqjg/a0ZcIoRhnvQ5UHtyKUu9fIuh6-ahReE3gCLcBGAsYHQ/s640/1-2-1.jpg)
…………………………………………………………………………..
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amesema ni wajibu wa kila mfanyabiashara wa vyuma chakavu kufuata sheria ili kulinda miundombinu na kuepuka...
11 years ago
Habarileo02 Apr
TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali
UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.
11 years ago
MichuziYale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....