Zanzibar ni jalala la bidhaa chakavu?
HIVI karibuni nikiwa nimepumzika katika baraza moja ya kahawa iliopo Malindi, hatua chache kutoka lango kuu la Bandari ya Zanzibar, ulipita msururu wa magari yaliojaa bidhaa chakavu. Magari hayo, makubwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
HEKAYA ZA MLEVI: Paka shume sina jalala...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Bidhaa zapanda bei Zanzibar
WANANCHI wengi wa Zanzibar wanalazimika kutumia fedha za ziada kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za lazima ikiwemo chakula baada ya bei ya bidhaa muhimu kupanda bei, imebainika.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Bidhaa feki zamiminika Zanzibar
9 years ago
MichuziBODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA KONTENA TANO ZA BIDHAA ZILIZOHARIBIKA.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-dJFjHU9Uxmg/U-x3L830VUI/AAAAAAAABe4/csvsgIc9Kcs/s72-c/Unknown-1.jpeg)
Shibuda: Fikra za UKAWA ni chakavu
Sitta awapuuza, asema Bunge litaendeleaWasomi wawashangaa, wawaonya wananchi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MAMBO yanazidi kwenda mrama kwa viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kutokana na kuendelea kuvurumishiwa makombora kutokana na kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dJFjHU9Uxmg/U-x3L830VUI/AAAAAAAABe4/csvsgIc9Kcs/s1600/Unknown-1.jpeg)
Mbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda, amesema kundi hilo lina fikra chakavu na ndiyo sababu amewazidi uwezo wa kufikiri na kuamua kurejea kushiriki vikao vya bunge hilo.
Shibuda, ambaye...
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mabasi chakavu yapelekwa Lindi, Mtwara
OPERESHENI maalumu iliyofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imebaini mabasi yanayokwenda katika mikoa ya kusini mengi yamechakaa na hakuna basi la daraja la kwanza.
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mabehewa chakavu yang’oa vigogo TRL
SERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.