Bidhaa zapanda bei Zanzibar
WANANCHI wengi wa Zanzibar wanalazimika kutumia fedha za ziada kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za lazima ikiwemo chakula baada ya bei ya bidhaa muhimu kupanda bei, imebainika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV18 Dec
Bei za vyakula, bidhaa Dar zapanda.
Na Epiphania Magingo,
Dar es Salaam.
Zikiwa zimesalia siku chache za kusherehekea sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za vyakula na bidhaa mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeonekana kupanda kwa kasi na kufanya wanunuzi wengi kushindwa kununua bidhaa hizo.
Changamoto hii imekuwa ikionekana kila inapokaribia msimu wa sikukuu kubwa ambayo licha ya kukemewa lakini imeendelea kujitokeza na kuwa tatizo sugu linalowaathiri wananchi wengi.
Ni katika soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam,...
9 years ago
StarTV21 Dec
Maandalizi ya Krismas,Mwaka mpya Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku tano kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
9 years ago
StarTV16 Dec
Maandalizi Ya Krismas, Mwaka Mpya ya sababisha  Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku kumi kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-2vXBfZ0_Gxw/XkTiTpsEpHI/AAAAAAAAuyU/yg1gbk2Hf00JrTxQwj7NEhvoUWdwsPabwCLcBGAsYHQ/s72-c/9260f255-8110-4cef-b281-b0980e9e6b2f.jpg)
NYANYA ZAPANDA BEI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2vXBfZ0_Gxw/XkTiTpsEpHI/AAAAAAAAuyU/yg1gbk2Hf00JrTxQwj7NEhvoUWdwsPabwCLcBGAsYHQ/s640/9260f255-8110-4cef-b281-b0980e9e6b2f.jpg)
Kwa siku za hivi karibuni zao la nyanya limeshika umaarufu mkubwa midomoni mwa watu kutokana na kupotea kwake sokoni na zinapopatikana basi bei yake imekua juu tofauti na ilivyozoeleka.
Michuzi Blogu imefanya uchunguzi wake katika masoko ya Sabasaba na Majengo ambapo...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Bei za sukari, mchele zapanda Mbeya
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Bei za vifaa vya shule zapanda kiholela Tanga
11 years ago
CloudsFM02 Jul
BEI ZA VYAKULA JIJINI DAR ZAPANDA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wamelalamikia bei kubwa za vyakula katika kipindi hiki cha Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye badhi ya masoko jijini humo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi wa jiji hilo Bw. Khamis Mshaka na Bi. Salma Jumbe, walisema baadhi ya wafanyabiashara wanapandisha bei ya vyakula ili kupata faida.
Walisema hali hiyo inawafanya wananchi wengi hasa wenye kipato kidogo washindwe kumudu bei za vyakula wanapokwenda sokoni.
“Tabia hii si nzuri na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
RC ataka bidhaa kutopandishwa bei
MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kuacha kupandisha bei ya vyakula katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, na kwamba...