Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC ataka bidhaa kutopandishwa bei

MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kuacha kupandisha bei ya vyakula katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, na kwamba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Bidhaa zapanda bei Zanzibar

WANANCHI wengi wa Zanzibar wanalazimika kutumia fedha za ziada kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za lazima ikiwemo chakula baada ya bei ya bidhaa muhimu kupanda bei, imebainika.

 

9 years ago

Mwananchi

Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar

Hali ya uchumi Zanzibar inazidi kudorora huku bei za bidhaa zikizidi kupanda kutokana na meli zinazosafirisha bidhaa hizo kutoka Tanzania Bara kupunguza safari zake kutokana na hali ya kisiasa iliyopo hapa Zanzibar.

 

10 years ago

StarTV

Bei za vyakula, bidhaa Dar zapanda.

Na Epiphania Magingo,

Dar es Salaam.

 

Zikiwa zimesalia siku chache za kusherehekea sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za vyakula na bidhaa mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeonekana kupanda kwa kasi na kufanya wanunuzi wengi kushindwa kununua bidhaa hizo.

 

Changamoto hii imekuwa ikionekana kila inapokaribia msimu wa sikukuu kubwa ambayo licha ya kukemewa lakini imeendelea kujitokeza na kuwa tatizo sugu linalowaathiri wananchi wengi.

 

Ni katika soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Habarileo

RC aonya watakaopaisha bei za bidhaa mwezi mtukufu

Dk Rehema NchimbiMKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kutopandisha bei ya bidhaa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.

 

10 years ago

Mwananchi

Krismasi yaanza kubadili bei za bidhaa sokoni

Maandalizi ya sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya yameanza kusababisha mabadiliko katika bei za bidhaa mbalimbali kwenye masoko ya jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi ya kuzingatia katika upangaji bei za bidhaa

Mara nyingi wajasiriamali wamekuwa wakipata changamoto mbalimbali katika upangaji bei za bidhaa zao au huduma wanazozitoa. Matokeo yake wamekuwa wakipanga bei ambazo hazina uhalisia katika dunia yao ya kufanyia biashara.

 

5 years ago

CCM Blog

MSD YAWATAHADHARISHA WANAOPANDISHA BEI BIDHAA ZINAZOSAIDIA KUJIKINGA NA CORONA

   Na Mwandishi wetu- MaelezoMkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Lawrean Bwanakunu amesema kuwa endapo wafanyabiashara wa bidhaa zinazosaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya korona wataendelea na tabia ya kupandisha bei ya bidhaa hizo itabidi MSD iingize bidhaa hizo mtaani.

Akielezea suala la bei ya vikinga virusi vya korona Bwanakunu alitolea mfano na kusema “Dawa za kuoshea mikono (sanitizer) ambayo bei yake halali katika soko ni shilingi 2,500 lakini kwa sasa wafanyabiashara...

 

9 years ago

Michuzi

MFUMUKO WA BEI ZA BIDHAA MBALIMBALI WATIKISA SOKO KUU JIJINI MWANZA.

Kwa takribani Wiki mbili sasa, Mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali kupanda katika Soko Kuu la Jijini Mwanza umeendelea kuwaliza watumiaji wa soko hilo.Na:George Binagi-GB PazzoMfumuko huo unalalamikiwa na pande zote mbili kwa maana ya wauzaji na wanunuaji sokoni hapo, ambapo wameomba hatua za haraka kuchukuliwa ili kiweka mambo sawa.
Bei kwa nafaka zote sokoni hapo zimepanda bei hadi shilingi 1,000 kwa kila moja tofauti na hapo awali ambapo bidhaa iliyokuwa ikiuzwa shilingi 15,000 sasa...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LAZINDUA DUKA LENYE BIDHAA ZA BEI NAFUU MBEYA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwazkil pamoja ns Kamishina wa Magereza Nchini John Minja wakifunua pazia la jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa Duka la Magereza  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwazkil akikata utepe kuzindua Duka la magereza (MAGEREZA DUTY FREE SHOP)
MAGEREZA DUTY FREE SHOP.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani