Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar
Hali ya uchumi Zanzibar inazidi kudorora huku bei za bidhaa zikizidi kupanda kutokana na meli zinazosafirisha bidhaa hizo kutoka Tanzania Bara kupunguza safari zake kutokana na hali ya kisiasa iliyopo hapa Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo05 Nov
Bidhaa zapanda bei Zanzibar
WANANCHI wengi wa Zanzibar wanalazimika kutumia fedha za ziada kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za lazima ikiwemo chakula baada ya bei ya bidhaa muhimu kupanda bei, imebainika.
5 years ago
StarTV19 Feb
Bei ya nafaka yapanda Mbeya.
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Bei ya nyama Dodoma, Dar yapanda
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Bei yapanda ghafla katika maduka ya jumla na rejareja
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
RC ataka bidhaa kutopandishwa bei
MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kuacha kupandisha bei ya vyakula katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, na kwamba...
10 years ago
StarTV18 Dec
Bei za vyakula, bidhaa Dar zapanda.
Na Epiphania Magingo,
Dar es Salaam.
Zikiwa zimesalia siku chache za kusherehekea sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za vyakula na bidhaa mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeonekana kupanda kwa kasi na kufanya wanunuzi wengi kushindwa kununua bidhaa hizo.
Changamoto hii imekuwa ikionekana kila inapokaribia msimu wa sikukuu kubwa ambayo licha ya kukemewa lakini imeendelea kujitokeza na kuwa tatizo sugu linalowaathiri wananchi wengi.
Ni katika soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Habarileo29 Jun
RC aonya watakaopaisha bei za bidhaa mwezi mtukufu
MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kutopandisha bei ya bidhaa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Krismasi yaanza kubadili bei za bidhaa sokoni
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mambo ya msingi ya kuzingatia katika upangaji bei za bidhaa