Maandalizi Ya Krismas, Mwaka Mpya ya sababisha  Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku kumi kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Dec
Maandalizi ya Krismas,Mwaka mpya Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku tano kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
MFUMUKO WA BEI: Bidhaa mbalimbali zatikisa soko kuu jijini Mwanza!
9 years ago
MichuziMFUMUKO WA BEI ZA BIDHAA MBALIMBALI WATIKISA SOKO KUU JIJINI MWANZA.
Bei kwa nafaka zote sokoni hapo zimepanda bei hadi shilingi 1,000 kwa kila moja tofauti na hapo awali ambapo bidhaa iliyokuwa ikiuzwa shilingi 15,000 sasa...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Bidhaa zapanda bei Zanzibar
WANANCHI wengi wa Zanzibar wanalazimika kutumia fedha za ziada kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za lazima ikiwemo chakula baada ya bei ya bidhaa muhimu kupanda bei, imebainika.
10 years ago
StarTV18 Dec
Bei za vyakula, bidhaa Dar zapanda.
Na Epiphania Magingo,
Dar es Salaam.
Zikiwa zimesalia siku chache za kusherehekea sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za vyakula na bidhaa mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeonekana kupanda kwa kasi na kufanya wanunuzi wengi kushindwa kununua bidhaa hizo.
Changamoto hii imekuwa ikionekana kila inapokaribia msimu wa sikukuu kubwa ambayo licha ya kukemewa lakini imeendelea kujitokeza na kuwa tatizo sugu linalowaathiri wananchi wengi.
Ni katika soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam,...
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanyabiashara Soko Kuu Mtwara walalamikia upatikanaji wa bidhaa
Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mkoa wa Mtwara wamelalamikia upatikanaji wa bidhaa hususani za nafaka kutokana na zoezi la Uchaguzi lililomalizika hali ambayo imesababisha gharama za bidhaa hizo kupanda maradufu na kuathiri wateja wa Mkoa huo.
Licha ya kumalizika kwa uchaguzi lakini bado uingizwaji wa bidhaa umekuwa hafifu kutokana na baadhi ya wafanyabishaara wanaomiliki magari ya mizigo kugoma kufuata mizigo mashambani.
Bidhaa nyingi zinazoingia katika Soko Kuu la mkoa wa Mtwara kwa kiasi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzhxFEGhLiboNPcIhHS2-p6gGEzlelm0G66wBij639s27AIjuNm55ZUQN0Z0Z6*jREQV0Xked8yiqhAQSMRcckKs/IMG20150730WA0009.jpg?width=650)
MAANDALIZI YA UFUNGUZI WA BIDHAA MPYA ZA OIL WAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi23 Dec
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-2vXBfZ0_Gxw/XkTiTpsEpHI/AAAAAAAAuyU/yg1gbk2Hf00JrTxQwj7NEhvoUWdwsPabwCLcBGAsYHQ/s72-c/9260f255-8110-4cef-b281-b0980e9e6b2f.jpg)
NYANYA ZAPANDA BEI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2vXBfZ0_Gxw/XkTiTpsEpHI/AAAAAAAAuyU/yg1gbk2Hf00JrTxQwj7NEhvoUWdwsPabwCLcBGAsYHQ/s640/9260f255-8110-4cef-b281-b0980e9e6b2f.jpg)
Kwa siku za hivi karibuni zao la nyanya limeshika umaarufu mkubwa midomoni mwa watu kutokana na kupotea kwake sokoni na zinapopatikana basi bei yake imekua juu tofauti na ilivyozoeleka.
Michuzi Blogu imefanya uchunguzi wake katika masoko ya Sabasaba na Majengo ambapo...