MAANDALIZI YA UFUNGUZI WA BIDHAA MPYA ZA OIL WAKAMILIKA
![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzhxFEGhLiboNPcIhHS2-p6gGEzlelm0G66wBij639s27AIjuNm55ZUQN0Z0Z6*jREQV0Xked8yiqhAQSMRcckKs/IMG20150730WA0009.jpg?width=650)
Aina mpya Oil ya magari na mitambo ya NEXTOIL imeingia nchini na kesho inazinduliwa rasmi chini ya duka la F-ZONE (T) LIMITED lililopo jijini Dar es salaam Mtaa wa Kariakoo na Msimbazi. Wasiliana nao kwa simu +255 757222480…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Dec
Maandalizi ya Krismas,Mwaka mpya Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku tano kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
9 years ago
StarTV16 Dec
Maandalizi Ya Krismas, Mwaka Mpya ya sababisha  Bei za bidhaa zapanda soko kuu Mwanza
Zikiwa zimebaki siku kumi kufikia sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za baadhi ya bidhaa katika soko kuu jijini Mwanza imeanza kupanda vikiwemo vyakula na nguo hususani za watoto.
Wafanyabiashara wanadai kupandisha bei hizo kutokana na ongezeko la ushuru unaowalazimu kulipa mara mbili ya awali.
Katika jiji la Mwanza, watu wanapishana kwenye maduka kununua bidhaa kwa ajili ya sikukuu za Krismas na mwaka mpya.
Usemi usemao mgeni karibu mwenyeji apone unadhihirika kutokana na ujio wa...
10 years ago
Dewji Blog05 Jan
Maandalizi ya ufunguzi wa shule za msingi mkoa wa Singida
Baadhi ya wazazi/walezi na wanafunzi wakijipatia mahitaji kwa ajili ya ufunguzi wa muhula wa shule za msingi unaotarajiwa kuanza leo Januari tano mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPdSLLLdqcYgpcXSKhPxDzCHGoVDl9SZuKwMfh*gv9jkYwsQpbjUl9k1qdBTTYraQLKhVnzvX3k-bXMEu6X1Zo7/EE6A8444.jpg)
UFUNGUZI WA DUKA LA F-ZONE T LTD LINALOSAMBAZA BIDHAA ZA FELTRON
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s72-c/1.jpg)
PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yR5777cPF2o/VcIJ-XNcoII/AAAAAAABTM4/szovlBwnMKc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_z1cwvspBe0/VcIJ_9rgLSI/AAAAAAABTNc/uqjxruCgnwo/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TS009f5bUA8/VcIKABGLPVI/AAAAAAABTNY/pK0tg9A2Yl8/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U1l9oocnbn4/VcIKA_lDwjI/AAAAAAABTNk/7VdOmVB5In0/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mgAgxvOtjkI/VQPigso1BTI/AAAAAAAHKM0/4zPNOje2K2Q/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
ufunguzi wa Msikiti Mpya wa Ijumaa wa Kijiji cha Bandamaji Mvumoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
![](http://2.bp.blogspot.com/-mgAgxvOtjkI/VQPigso1BTI/AAAAAAAHKM0/4zPNOje2K2Q/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GT6CWfofQ1Q/VQPigol6uEI/AAAAAAAHKMw/-8nxUFnki-Q/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
9 years ago
Habarileo31 Oct
Maandalizi ya kumwapisha rais mpya yapamba moto
SERIKALI imeendelea kuandaa mazingira ya sehemu itakayotumika kwa ajili ya kumwapisha Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Maandalizi ya mazingira hayo yanaenda sambamba na mazoezi ya kijeshi kwa ajili ya gwaride maalumu, litakalofanyika wakati wa kuapishwa kwake katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo26 Feb
ZEC yakutana na wadau maandalizi ya Katiba mpya
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imekutana na wadau mbalimbali vikiwamo vyama vya siasa kwa ajili ya maandalizi ya kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Faidika yazindua bidhaa mpya ya mikopo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya kifedha, Faidika imezindua bidhaa mpya ya mkopo maarufu kama ‘Executive’ inayolenga kuwezesha upatikanaji rahisi wa mkopo usiokuwa na dhamana kwa wafanyakazi wa serikalini wa mpaka Sh milioni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Marion Moore, alisema mkopo huo mpya ni moja kati ya bidhaa ya kipekee nchini yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi kutoka...