Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFUNGUZI WA DUKA LA F-ZONE T LTD LINALOSAMBAZA BIDHAA ZA FELTRON

Mmoja wa wahisani wa Kampuni ya Feltron (katikati), Bw. Dinesh Mithrani akikata utepe kama ishara ya uzinduzi rasmi wa duka hilo. ...Akiingia dukani humo muda mfupi baada ya uzinduzi huo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DUKA JIPYA FELTRON SASA LIMEFUNGULIWA!

  Fika Mtaa wa Msimbazi Kariakoo Opp. na DDC Kariakoo kwa ajili ya bidhaa za kisasa za majumbani na…

 

10 years ago

GPL

BIDHAA BORA ZA FELTRON ZIMEINGIA NCHINI RASMI

Jipatie bidhaa bora na halisi kwa ajili ya majumbani na maofisini kutoka kampuni ya Feltron ya
Falme za Kiarabu.   Kwa maelezo zaidi wasiliana na Wakala rasmi…

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: BIDHAA BORA ZA FELTRON ZIMEINGIA NCHINI RASMI

Jipatie bidhaa bora na halisi kwa ajili ya majumbani na maofisini kutoka kampuni ya Feltron ya Falme za Kiarabu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Wakala rasmi nchini:F- Zone (T) LtdSimu: +255 765 118 884web site: www.fzone.com

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Ufunguzi wa Duka Jipya la “Viwalo” la Nargis Mohammed

Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Nargis Mohammed hivi juzi  amefungua duka jipya la mavazi  ya wanawake ikwa ni muendelezo wa maduka yake yanaofahamika kwa jinala la fashoonista .

Hapo juu ni baadhi ya picha za ufunguzi wa duka hilo lililopo Nyumbani Lounge karibu na Best Bite, jijini Dar.

Hongera sana Nargis.

 

10 years ago

GPL

MAANDALIZI YA UFUNGUZI WA BIDHAA MPYA ZA OIL WAKAMILIKA

Aina mpya Oil ya magari na mitambo ya NEXTOIL imeingia nchini na kesho inazinduliwa rasmi chini ya duka la F-ZONE (T) LIMITED lililopo jijini Dar es salaam Mtaa wa Kariakoo na Msimbazi. Wasiliana nao kwa simu +255 757222480…

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LAZINDUA DUKA LENYE BIDHAA ZA BEI NAFUU MBEYA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwazkil pamoja ns Kamishina wa Magereza Nchini John Minja wakifunua pazia la jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa Duka la Magereza  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwazkil akikata utepe kuzindua Duka la magereza (MAGEREZA DUTY FREE SHOP)
MAGEREZA DUTY FREE SHOP.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

5 years ago

Michuzi

OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO

NA MWAMVUA MWINYI PWANI .
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria . 
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo. 
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA

 Wanafunzi wa shule ya msingi ya  Nhinhi wiyani Chamwino wakicheza ngoma ya kabila la kigogo wakati wa Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Unyonyeshaji maziwa ya mama kwa mtoto kwa miezi sita yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda katika mfurulizo wa wiki ya hiyo inayofanyika kitaifa mkoani Dodoma


 Baadhi ya wanawake na wanaume wakiwa na watoto wao kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji kitaifa inayoendelea mkoani Dodoma yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda kata ya Nhinhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani