DUKA JIPYA FELTRON SASA LIMEFUNGULIWA!
 Fika Mtaa wa Msimbazi Kariakoo Opp. na DDC Kariakoo kwa ajili ya bidhaa za kisasa za majumbani na…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLUFUNGUZI WA DUKA LA F-ZONE T LTD LINALOSAMBAZA BIDHAA ZA FELTRON
10 years ago
GPL10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Tigo yazindua Duka jipya Moshi
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas T. Gama aikata utepe kuzindua rasmi Tawi la Tigo Moshi Mjini jana, wanaoshuhudia kulia ni Gwamaka Mwakilembe, Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini na kushoto ni Meneja wa ubora huduma kwa wateja Tigo, Mwangaza Matotola.
Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama juu ya bidhaa zilizopo ndani ya Duka la Tigo lililozinduliwa Moshi Mjini jana.
Kampuni ya simu...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Tigo yafungua duka jipya Songea
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imefungua duka jipya la huduma kwa wateja mjini Songea. Duka hilo litarahisisha upatikanaji wa huduma zake kwa wateja, ambao awali walikuwa hawana namna ya kupata huduma za moja kwa moja kutoka kwenye kampuni hiyo ya simu.
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Tigo yazindua Duka Jipya Ifakara
Katibu Tawala wilaya ya Kilombero ndugu Yahya Naniya akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Ifakara mjini, kutoka kushoto ni Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya Pwani, Isack Shoo, Inspekta Dotto Ngimbwa kutoka ofisi ya OCD Kilombero na mwisho kulia Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki Goodluck Charles.
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki, Goodluck Charles akizungumza machache kwenye hafla hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
Katibu...
11 years ago
GPLVODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA MSASANI
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
TIGO yazindua duka jipya Musoma Mjini
Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mjini , Mhe.Zelothe Stephen akikaribishwa na mwenyeji wake, Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa Beatrice Kinabo kabla ya uzinduzi wa tawi jipya la Tigo Musoma mjini. Wengine pichani ni Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mara, Philip Kalangi na mwakilisi wa RAC.
Meneja wa Mauzo wa Tigo Mkoa wa Mara, Edwin Kisamo akitoa utambulisho kwa meza kuu.
Meneja wa Mauzo Tigo Kanda ya Ziwa, Edgar Mapande akiongea na wageni waalikwa na wanahabari kabla ya uzinduzi wa Duka la...
9 years ago
GPLAIRTEL YAFUNGUA DUKA JIPYA MJINI MOSHI
10 years ago
Habarileo23 Oct
Voda yafungua duka jipya Quality Centre
KATIKA kuhakikisha wakazi wa Temeke na Ilala wanapata huduma kwa karibu, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imefungua duka jipya katika jengo la Quality Centre Uchumi.