NEWS ALERT: BIDHAA BORA ZA FELTRON ZIMEINGIA NCHINI RASMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PCnMAJk2o/VZguhEyP3xI/AAAAAAAHm6A/WChcMCOwuUU/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Jipatie bidhaa bora na halisi kwa ajili ya majumbani na maofisini kutoka kampuni ya Feltron ya Falme za Kiarabu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Wakala rasmi nchini:F- Zone (T) LtdSimu: +255 765 118 884web site: www.fzone.com
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oTw*v75BEJEkG93T8nabglg70lx9s6CUVHmBLpwYok7eK*eur0GRSVA2KYFWkDHPxtxM*mBw0RolkZlCvva4Ni-jXfCaYsOz/IMG20150704WA0005.jpg?width=750)
BIDHAA BORA ZA FELTRON ZIMEINGIA NCHINI RASMI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPdSLLLdqcYgpcXSKhPxDzCHGoVDl9SZuKwMfh*gv9jkYwsQpbjUl9k1qdBTTYraQLKhVnzvX3k-bXMEu6X1Zo7/EE6A8444.jpg)
UFUNGUZI WA DUKA LA F-ZONE T LTD LINALOSAMBAZA BIDHAA ZA FELTRON
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s72-c/20150503073519.jpg)
NEWS ALERT: Waomba hifadhi kutoka nchini Burundi wazidi kuwasili nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnOk3hzpLcU/VUYymMOFQXI/AAAAAAAHVAo/cqfCnXUjx2Y/s1600/20150503073519.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: Serikali yasitisha matumizi ya Picha Rasmi ya Rais Magufuli
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s640/images.jpg)
Awali majira ya saa 6: 00 mchana leo Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi hizo na umma wa Watanzania kuhusu kuanza tena kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s72-c/bye1.jpg)
NEWS ALERT: RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
News Alert; Waziri Kigoda afariki dunia nchini India
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh Abdallah Kigoda (pichani) amefariki dunia jioni hii nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo cha Mh Kigoda ambaye pia alikuwa mbunge wa Handeni mkoani Tanga zimethibitishwa na ofisi ya Bunge jijini Dar es Salaam.
Mhe. Dkt. Kigoda alikwenda nchini India kwa matibabu tarehe 18 Septemba, 2015, kupata matibabu katika hospitali Hiyo ya Apollo. Taarifa zaidi kutolewa baadaye.
Modewji Blog inaungana na Familia ya Marehemu pamoja na Watanzania kwa...
10 years ago
Michuzi17 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LwEeRL6CzAA/UyXLxFVjK3I/AAAAAAAAMVA/-v54O7c_jho/s72-c/2.jpg)
NEWS ALERT:Matokeo ya Awali yasiyo rasmi kutoka vituo mbalimbali uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kalenga.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LwEeRL6CzAA/UyXLxFVjK3I/AAAAAAAAMVA/-v54O7c_jho/s1600/2.jpg)
CCM 98 ,Chadema 20, CHAUSTA 0 Ipamba no2. CCM 104, Chadema 10,CHAUSTA 0 Isakulilo CCM 83,Chadema 8,CHAUSTA 0
Kilindi A CCM 69 ,Chadema 23, CHAUSTA 0 Ofisi ya Kijiji(Kilindi) CCM 117, Chadema 53, CHAUSTA0 Zahanati CCM 117,Chadema 67, CHAUSTA 1 Ifunda Kivalali A CCM 99 Chadema 19 CHAUSTA 0 Kivalali B CCM 109 Chadema 14, CHAUSTA 1 Muwimbi CCM164, Chadema 22 CHAUSTA 0
Mahanzi CCM 130 Chadema 46 CHAUSTA 0 Ikungwe A CCM 131 Chadema 23 CHAUSTA 0 Ikungwe B CCM 216 Chadema 13 CHAUSTA...