OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI PWANI .
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria .
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo.
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-k3BFQWHXLz8/VRFdSXrt4HI/AAAAAAAHM4Y/6ctbDCDdKlk/s72-c/001.jpg)
WATEJA WA DUKA LA WOOLWORTHS KUNUNUA KWA NUSU BEI PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-k3BFQWHXLz8/VRFdSXrt4HI/AAAAAAAHM4Y/6ctbDCDdKlk/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-w7FqrniNoLg/VRFdUS9jIjI/AAAAAAAHM5E/WtLfAD9KUfQ/s1600/004.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wh6b0fkgU11MDcLr2YsNPDRcTZZb47LOQG3-1SrODErFC5AGklPlw5gutwf-DhxbdBowm2MxWWc3JYUgbqTrk8A6xUWLONQg/kazi.jpg)
TANGAZO LA KAZI KUUZA DUKA LA VIFAA VYA UJENZI NA UMEME
11 years ago
Michuzi12 Feb
JESHI LA MAGEREZA LAZINDUA DUKA LENYE BIDHAA ZA BEI NAFUU MBEYA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iX0BIWwSmZE/XrpwURRfPYI/AAAAAAALp44/JcimFnW_jOgCt6g-l3a8vyfyzSBm3IDBgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
BEI JUU YA SUKARI YAWALIZA WANANCHI KIBAHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iX0BIWwSmZE/XrpwURRfPYI/AAAAAAALp44/JcimFnW_jOgCt6g-l3a8vyfyzSBm3IDBgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200429-WA0007.jpg)
BAADHI ya maduka wilayani Kibaha yanauza sukari kwa bei ya sh. 3,200-4,000 kwa kilo ambayo ni kinyume na bei elekezi ya serikali kwa mkoa wa Pwani ambayo ni sh. 2,700.
Kero hiyo imejitokeza kutokana na wauzaji wa maduka ya maeneo mbalimbali ya wilayani ya Kibaha hayana bidhaa hiyo muhimu ,na sasa sukari imekuwa adimu.
Wananchi wakizungumza walisema sukari imekuwa ikiuzwa kwa kificho ambapo wakiwa na wasiwasi wanasema sukari hamna wakiogopa kukamatwa na polisi...
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Wapinga kufungwa kwa duka la Uchumi TZ
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tigo wafungua duka huduma kwa wateja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA3SyFW2kic*VxMnV3Pu1B2b2sXAlIH0Qzb-YGr0valqsv5x9W0bfpv5*x0cSBr8BbxtwTGvztAfez6W6mVgEBjf/dukanoma.jpg?width=650)
KWA NINI WENGI HAWAFANIKIWI KWA BIASHARA YA DUKA?
11 years ago
Michuzi28 Jul
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MxLtZJWNNzs/VhOinRmTLfI/AAAAAAAH9RI/qnBtQqF05gg/s72-c/picture%2B2.jpg)
VODACOM YAZINDUA WIKI YA WATEJA KWA KUFUNGUA DUKA JIPYA DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-MxLtZJWNNzs/VhOinRmTLfI/AAAAAAAH9RI/qnBtQqF05gg/s640/picture%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g--4mgaXtfw/VhOion5ogfI/AAAAAAAH9RU/Ew_0UNBJrSc/s640/picture%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yuxdh3BqoXs/VhOipU8va8I/AAAAAAAH9RY/ihHOye2Ng20/s640/picture5.jpg)