BEI JUU YA SUKARI YAWALIZA WANANCHI KIBAHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iX0BIWwSmZE/XrpwURRfPYI/AAAAAAALp44/JcimFnW_jOgCt6g-l3a8vyfyzSBm3IDBgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
BAADHI ya maduka wilayani Kibaha yanauza sukari kwa bei ya sh. 3,200-4,000 kwa kilo ambayo ni kinyume na bei elekezi ya serikali kwa mkoa wa Pwani ambayo ni sh. 2,700.
Kero hiyo imejitokeza kutokana na wauzaji wa maduka ya maeneo mbalimbali ya wilayani ya Kibaha hayana bidhaa hiyo muhimu ,na sasa sukari imekuwa adimu.
Wananchi wakizungumza walisema sukari imekuwa ikiuzwa kwa kificho ambapo wakiwa na wasiwasi wanasema sukari hamna wakiogopa kukamatwa na polisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200429-WA0007.jpg)
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria .
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo.
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T7j7LFV7AUw/XqFoRLlHXfI/AAAAAAALn98/niTepAN1TG0nOdSvHSY5EHxbBafM3qn1wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.53.14%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s72-c/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s640/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Wwr1G95cMc/VXP0B6HRTyI/AAAAAAAAQlo/sgAic8fCNzk/s640/E86A9577%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dt5RjbsO1wY/VXP0GdCtSlI/AAAAAAAAQmY/yhPTfJ_gO4U/s640/E86A9601%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s72-c/logo%2Bewura.jpg)
WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s400/logo%2Bewura.jpg)
Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...
11 years ago
Michuzi03 Feb
Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha
![](https://2.bp.blogspot.com/-UgXJcsGVZ1Q/Uu-5Cpc7jKI/AAAAAAACoOo/LKT-bkV7Oro/s1600/Mbowe+kuhutubia+Kibaha.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnyOd2laooo/Uu-5CPTSPdI/AAAAAAACoOg/bII30qq6ma0/s1600/Kukabidhi+kadi+2.jpg)
9 years ago
Habarileo07 Jan
Serikali yajadili bei ya sukari
SERIKALI iko katika mazungumzo na viwanda vyote vinavyozalisha sukari kuangalia namna ya kuviondolea baadhi ya gharama za uzalishaji ili bidhaa hiyo ishuke bei.
11 years ago
Habarileo14 May
Bei ya mchele, sukari kuendelea kudhibitiwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kudhibiti bei za vyakula muhimu, ikiwemo mchele na sukari, ili kupunguza ukali wa maisha kwa wananchi wake.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Bei za sukari, mchele zapanda Mbeya
9 years ago
StarTV07 Jan
 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.
Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.
Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...